Nampenda Mungu tu

Nampenda Mungu tu


Naona huu uzi ushaanza kuleta kizaazaa, nilisema tangu mwanzo mimi.
 

Naona huu uzi ushaanza kuleta kizaazaa, nilisema tangu mwanzo mimi.
Wangu Hana ananichomesha mabua
 
Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.

Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,

Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .

Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
Hahahaha kwahiyo unalilia wanaume wa wenzako??
 

Naona huu uzi ushaanza kuleta kizaazaa, nilisema tangu mwanzo mimi.
Kumbe eeh😀😀😀wakatajana bhana wanaopendana 😀
 
Back
Top Bottom