To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yaan humu tucheke nao tuKabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan humu tucheke nao tuKabisa
KabisaYeah sure,hapa ni wastage of time
Mtu kukupiga kibuti ni shida zake yeye, me sijaona uhusiano wa mtu kutokupendwa na kuumia.Si ndo hapo kwann uumie Kwa mtu hujamkosea yeye kaamua hakupendi hapo mtu unakosa gani mm ndo Huwa naongezekaga na uzito 😂😂😂
Akikupenda Mungu inatosha.Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
Limekukuta jambo?Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
Mara ghafra unamkuta ana mimba..!! Na wakati alitutangazia anampenda Mungu tu..!!Akikupenda Mungu inatosha.
Mkuu umekimbilia kunitaja mm, ili ukwepe msala?Analyse unaitwa ujibu mashtaka uku[emoji1]
Kwani bikra Maria alipataje mimba?Mara ghafra unamkuta ana mimba..!! Na wakati alitutangazia anampenda Mungu tu..!!
Sipo mkuuMkuu umekimbilia kunitaja mm, ili ukwepe msala?
DeepPond Carrasco mzabzab Half american na Mzee wa kupambania nyie mmoja wenu ndio atakuwa anahusika 😅😅😅
Kuna somo bado hamjajifunza!!Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
Wee peke ako ndo mwenye kuhusudu mishangazi[emoji1]Mkuu umekimbilia kunitaja mm, ili ukwepe msala?
DeepPond Carrasco mzabzab Half american na Mzee wa kupambania nyie mmoja wenu ndio atakuwa anahusika [emoji28][emoji28][emoji28]
Kweli dear mpende akupendaeMtu kukupiga kibuti ni shida zake yeye, me sijaona uhusiano wa mtu kutokupendwa na kuumia.
Hayo ni matumizi mabaya ya kujiumiza
Carrasco ndio anioneaMkuu umekimbilia kunitaja mm, ili ukwepe msala?
DeepPond Carrasco mzabzab Half american na Mzee wa kupambania nyie mmoja wenu ndio atakuwa anahusika 😅😅😅