Phantom Kunai
Member
- Dec 2, 2017
- 23
- 30
....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtatuprovoke asubuhi asubuhi...Habari wana JF
Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.
Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.
Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.
NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Ww kama mpenzi wake ni jukumu lako kumnunulia nguo unazoona zinampendeza ,hilo swala ndogo sana ,ingekua tabia kama ulevi, kukojoa kitandani ,matusi,...ningeona ni tatizoHabari wana JF
Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.
Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.
Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.
NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Mpeleke shopping ukamnunulie unachotaka avae halafu uone. Hilo eneo sasa ni kazi yako kumbadilisha.Habari wana JF
Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.
Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.
Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.
NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Yaani jambo dogo kama kuvaa ndio unalileta huku?Habari wana JF
Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.
Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.
Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.
NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Kwahiyo mavazi tu ndio likuwa tatizo hadi sasa angalau umeona mwanga gizani!Nashukuru sana wanaJF kwa kunionyesha mwanga gizani [emoji1488]
Unataka akiwa na wewe au mkiwa mnatembea awe anavaa hivi? Hujui km mmezaliwa na familia na malezi tofauti? Hujui kwamba alichofunzwa na wazazi wake sicho ulichofunzwa na wazazi wako?Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Sasa wewe unashindwaje kumchagulia na kumnunulia nguo nzuri ili apendeze unavyotaka wewe?Habari wana JF
Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.
Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.
Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.
NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Akimchaguliwa nguo za kutembea uchi unadhani atakubari? Hawezi pigo zake amuache atafute watembea uchi wenzake kila mbuyu na ...........Sasa wewe unashindwaje kumchagulia na kumnunulia nguo nzuri ili apendeze unavyotaka wewe?
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app