Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

Ha ha ha umenikumbusha mbali Sana Mkuu.

Iko hivi Boss upendo wa kweli huwa hauna sababu. Simple as that.

Kuna hizi scenario
Mfano Mwenza wako kapata ajali kaungua na moto sehemu kubwa ya mwili wake au kapoteza baadhi ya viungo. Kawa kipofu masikio yamekatika, kakonda kinoma kutokana na stress hata avae nguo gani haimkai poa, havutii wala nini. Na vitu vingine kibao kama hivyo ila bado yupo hai
Je utasemaje hapo?

Hivyo kama unampenda mpende kweli, usingalie mavazi Boss. Show Love mwaga Upendo mpaka mtoto achanganyikiwe.

Kila la Kheri Mkuu.
 
Nimeona upo 20s nikaona nikusamehe kwani bado una mengi ya kujifunza; Kuhusu mavazi sio issue kubwa kwani bado unanafasi ya kumbadilisha ukitaka. Unaonaje ukampeleka shopping ukamnunulia nguo mbili tatu unazozipenda uone kama hatazivaa? Akizivaa akapendeza mwelekeze kuwa unapenda design hizo...
Hawa viumbe muda mwingine hufundishwa kwa action (na ndicho wanapenda)
Huyu mtoto hana pesa ya kumnunulia binti wa watu nguo, hata hicho kiasi kidogo alichonacho anaona kama vile akimfanyia shopping binti, atapoteza sana. Yuko na binti kwa maslahi ya kula mbususu tu, hakuna kingine. Na wala hana ndoto naye
 
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.

Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
1669708194958.png
 
Okay ushaeleweka kuwa wewe ni mtu wa fashion (wakisasa) na dress code anazopiga binti ni kama huzielewi

Ushawahi mtoa out siku moja aukasema bibie leo pesa hii hapa ebu vunja kabati chukua hii na hii?

Au ushawahi mletea zawadi ya nguo zile ambazo wewe unafikiri ndio zinazo weza kuku turn on ukiwa naye?
Nmemwambia atafute hela maana haya yote unayo mwambia hajawah kuyafanya... Mtoto wa watu anamtesa bure, Bora awaachie wanaume wanaoweza m care mtoto
 
Mkuu inawezekana mkawa mnatofautiana vipaumbele na huyo bint lazima hilo uwelewe ,
Wewe ikawa kipaumbele chako kuvaa vizuri na kuonekana ,ila yeye akawa swala la mavazi au kupendeza si kipaumbele chake ,
Jaribu kukaa naye chini uwone mawazo yake ni wapi yanaelekea ,huwenda kuna vitu vya maana na vikubwa zaidi mwenzio akawa anavitazama ,
Na pia cha kukusaidia mkuu wengi wanataka wanawake ambao hawawekezi katika mavazi na vitu vya anasa ,ndomana unakuta wanaolewa ni watu wakawaida au wanaovaa kawaida ,maana katika maisha ili upige hatua kunahitaji uondokane na mambo ya anasa kwanza ili ujipange na kusimama imara ,Ndomana wengi wanataka wanawake wasiokuwa na mambo mengi ,yeye akisuka twende kilioni sawa ,tofauti na mwanamke ambaye kila wiki anasuka nywele za 50,000 ,kufanikiwa mkuu kunahitaji kujibana sana na hasa ukipata mwanamke ambaye hana makuu na mambo mengi
 
YYaanimapenzi yanapungua sababu hapangilii mavazi?

Anyways, good luck mdogo wangu kwa huyo utakayemtaka anayejua kupangilia viwalo
 
oi njoo tubadilishane kaka, nipe huyo nikupe wangu Bae Queen ndo anavyojiita akuoneshe atavyokuwa unavyotaka ila kwa hela yako.
 
U
Habari wana JF

Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.

Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.

Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.

Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.

Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.

Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.

NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Ulishampeleka shopping na kumshauri anunue nguo uzipendazo?

Pili unaweza kupanga na muuzaji nguo mqenye vimelea vya uanamitindo na ukamwambia naja na demu wangu nataka umshauri namna ya kupendeza kulingana na umbo na rangi yake.
Hapa kanwe hataruka viunzi....mpe muda mabadiliko huja taratiiibu sana
 
Mkuu si ushasema kwenye Uzi wako kwamba kila mwanadamu Ana mapungufu Yake jamani!

Kwa hiyo mapungufu ya demu wako yapo kwenye mavazi na umesema unampenda pamoja na hayo mapungufu Yake.

Sasa unataka tukushauri Nini?
Hapa nazungumzia mapungufu ya kibaiolojia ambayo ni permanent ikiwa ni kasoro alizozaliwa au alizokumbna nazo kweny ukuaji (cna shida nazo hzo) lakin vitu kama confidence, tabia, uwoga, haiba etc. Ni vitu ambavyo vinaweza kubadilika, thts my problem.
 
Kama taifa na hili nalo mkalijadili.
 
Upo sahihi kulingana na umri wako, ntakupa huyu slay queen wangu, ww nipe huyo wife material nimuweke ndani.
Tunaishi kutokana na umri husika,kama wanavyosema "Let a kid be a kid" hata kwa old ones pia. Kwmba ishi umri wako, priorities zinachange kadri ninavyoongezek umri. Haitakuwa mwonekano tena but will b all about Family na tija zinazoenda na umri wangu
 
Okay ushaeleweka kuwa wewe ni mtu wa fashion (wakisasa) na dress code anazopiga binti ni kama huzielewi

Ushawahi mtoa out siku moja aukasema bibie leo pesa hii hapa ebu vunja kabati chukua hii na hii?

Au ushawahi mletea zawadi ya nguo zile ambazo wewe unafikiri ndio zinazo weza kuku turn on ukiwa naye?
Umaridadi huficha umaskini bro , siyo necessary nguo za gharama ama kuvaa kama unapita on red carpet au unaenda bungeni. Just kependeza tu
 
Ipo shida mahali, umempenda Kwa vitu temporary na sio permanent, utajuta in ur next chapter, someone who doesn't fit you in God's perspectives muache sio wako huyo. Wewe ni WA mataifa yeye ni mwana low profile. Utajuta tafuta wa aina yako
Huwenda ukawa uko sahihi, labda sis ni watu wawili tofauti kwamba hatushabihiani. Lakin kpoint kuhusu haiba yake hakunifany kuwa wa mataifa. Nnachosema kinaonekana kw macho nataman ungeona.
 
Back
Top Bottom