Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Huyu mtoto hana pesa ya kumnunulia binti wa watu nguo, hata hicho kiasi kidogo alichonacho anaona kama vile akimfanyia shopping binti, atapoteza sana. Yuko na binti kwa maslahi ya kula mbususu tu, hakuna kingine. Na wala hana ndoto nayeNimeona upo 20s nikaona nikusamehe kwani bado una mengi ya kujifunza; Kuhusu mavazi sio issue kubwa kwani bado unanafasi ya kumbadilisha ukitaka. Unaonaje ukampeleka shopping ukamnunulia nguo mbili tatu unazozipenda uone kama hatazivaa? Akizivaa akapendeza mwelekeze kuwa unapenda design hizo...
Hawa viumbe muda mwingine hufundishwa kwa action (na ndicho wanapenda)
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nmemwambia atafute hela maana haya yote unayo mwambia hajawah kuyafanya... Mtoto wa watu anamtesa bure, Bora awaachie wanaume wanaoweza m care mtotoOkay ushaeleweka kuwa wewe ni mtu wa fashion (wakisasa) na dress code anazopiga binti ni kama huzielewi
Ushawahi mtoa out siku moja aukasema bibie leo pesa hii hapa ebu vunja kabati chukua hii na hii?
Au ushawahi mletea zawadi ya nguo zile ambazo wewe unafikiri ndio zinazo weza kuku turn on ukiwa naye?
Ulishampeleka shopping na kumshauri anunue nguo uzipendazo?Habari wana JF
Nitangulize brief kuhusu mimi, mbali na aspects na changamoto nyingine za kimaisha kuvaa vizuri (smartness) ni priority kubwa kwangu. Sizungumzii gharama ya nguo bali nazungumzia mpangilio wa mavazi hata kama ni za mtumba.
Hali iko hivi, nina mahusiano na binti ambaye nipo naye kwa zaidi ya miez 8 sasa. Mimi na mwenza wangu ni vijana 20s ya kati, Dar es salaam.
Binti ni mzuri sana tu, sura, tabasamu, rangi, ana height na shape flan ambayo anaweza kuwa Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Shida kwangu ni kwamba, licha ya yote binti hayupo smart kimavazi yaani mpangilio wake wa nguo si mzuri kabisa. Ni kana kwamba anavaa nguo kujisitiri(nude) tu, anavaa katika namna ambayo inamfanya onekane older kuliko uhalisia. Mpaka kuna time nadhani labda huwa anavaa anachokiona mbele yake.
Kupendeza ni neno ambalo halipo katika kamusi yake.
Nampenda sana ila nakwazika sana na hii hali kiasi kwamba mapenzi yanapungua kwake,
nishajaribu kuzungumza nae na hakuna mabadiliko zaidi ya kumkwaza.
Nipo ndani ya mchezo sioni kila angle/kitu,
Naombeni maoni yenu tafadhali.
NB:
Maoni ya aina yoyote ruksa, Asanteni.
Hapa uliandika mwenyewe au shem alikupenyezea maandishi?Model kama akiamua pia ni smart sana(usafi), japo kasoro za kibinadamu zipo na sina shida nazo kabisa mimi sijakamilika pia.
Hapa nazungumzia mapungufu ya kibaiolojia ambayo ni permanent ikiwa ni kasoro alizozaliwa au alizokumbna nazo kweny ukuaji (cna shida nazo hzo) lakin vitu kama confidence, tabia, uwoga, haiba etc. Ni vitu ambavyo vinaweza kubadilika, thts my problem.Mkuu si ushasema kwenye Uzi wako kwamba kila mwanadamu Ana mapungufu Yake jamani!
Kwa hiyo mapungufu ya demu wako yapo kwenye mavazi na umesema unampenda pamoja na hayo mapungufu Yake.
Sasa unataka tukushauri Nini?
Mtazamo mzuri ila jua pia maisha yanaenda mbele si nyuma.Kama umeshazungumza nae na hakuna mabadiliko basi badilika wewe ili uweze kuendana nae.
Tunaishi kutokana na umri husika,kama wanavyosema "Let a kid be a kid" hata kwa old ones pia. Kwmba ishi umri wako, priorities zinachange kadri ninavyoongezek umri. Haitakuwa mwonekano tena but will b all about Family na tija zinazoenda na umri wanguUpo sahihi kulingana na umri wako, ntakupa huyu slay queen wangu, ww nipe huyo wife material nimuweke ndani.
Good point 👍🏾Tafuta hela acha ujinga
Umaridadi huficha umaskini bro , siyo necessary nguo za gharama ama kuvaa kama unapita on red carpet au unaenda bungeni. Just kependeza tuOkay ushaeleweka kuwa wewe ni mtu wa fashion (wakisasa) na dress code anazopiga binti ni kama huzielewi
Ushawahi mtoa out siku moja aukasema bibie leo pesa hii hapa ebu vunja kabati chukua hii na hii?
Au ushawahi mletea zawadi ya nguo zile ambazo wewe unafikiri ndio zinazo weza kuku turn on ukiwa naye?
Huwenda ukawa uko sahihi, labda sis ni watu wawili tofauti kwamba hatushabihiani. Lakin kpoint kuhusu haiba yake hakunifany kuwa wa mataifa. Nnachosema kinaonekana kw macho nataman ungeona.Ipo shida mahali, umempenda Kwa vitu temporary na sio permanent, utajuta in ur next chapter, someone who doesn't fit you in God's perspectives muache sio wako huyo. Wewe ni WA mataifa yeye ni mwana low profile. Utajuta tafuta wa aina yako