Akikusaliti msaliti..... Ukiona uwezi usaliti mbonde... kama uwez kumbonda tafuta mkali zaid ake... Pambana tafuta pesa ya kutosha... Alfu kaa umevaa miwani uone atavokuja na nziHaya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu
Wanaume tumebaki 10 tu Bongo...Haya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu wana kiri)
Nikimfumania mara nyingi anakuwa mkali nami namwomba msamaha kwa kumuudhi. Hapo naweza mbembeleza hata week nikilia ndo ananisamehe kwa shingo upande sana.
Kiukweli nampenda na sipendi kumpoteza. Huwa namwambia basi anapo ni cheat awe makini nisiwe najua mwenzie anaumiza roho yangu anajibu sawa atajitahidi. Haupiti mwezi anarudia tena.
Nikimuuliza anakuwa mkali kuwa kwa nini namfuatilia na kumfanya akose uhuru.anasema mimi mlalamishi sana.
Sasa toka lasti wiki napiga simu hapokei.nimeenda anapoishi hayupo. Nimehangaika sana. Jana katuma msg kuwa hanitaki tena... Nmeumia sana kwa kweli nawaza nitaishi vipi nami nlishamzoea...natamani kunywa sumu. Hata sijui ipi ndo nzuri. Sijalala usiku kucha namuwazia Kidawa.
Punguza uboya kwenye mapenzi. Kuna mambo mengi ya kufanya acha kulilia mbususu. Hakupendi huyoHaya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu wana kiri)
😂DahNi PM namba yake nimuonje nione kama ni mtamu. Nikikuta ni mtamu ntakushauri ujiue ili tuendelee kumpiga púmbú. Nasema uongo ndugu zangu?
Una kazi ya kucheka maswahibu ya watu[emoji23]Dah
Kwan kucheka ni ukatili😂Una kazi ya kucheka maswahibu ya watu
Mwanamke mkatili sana wewe [emoji3526]
Kwasababu sio mke,aanze na fallen angel ausikilize mara5 ndo aje wimbo usio bora,dizasta vina[emoji91]Sikiliza ngoma za Dizasta Vina na ufocus
Jirani mbona kwa hasira hivi... Jirani naomba nijinyonge kwa ajili yako...Ifikie hatua matatizo yenu katika mahusiano muwe mnawaambia wazazi mfano mama,yaan hapa nimeumia mwanangu ateseke na mwanamke Malaya,atake kujinyonga sababu kaachwa na mwanamke Malaya😳🙌 Daaa....utakufa Kwa ukimwi nyoko wewe!!
Kufa tu maana hujui kuitumia akili Yako vizuri😏 mapenz ya nn kama hamyawez...😠....kupenda sifa za kijinga,yaan kinachokuuma ni Ile wenzio walikuwa wanakusifu una demu Bomba afu kakutosa.🤔 Kakate kidole Zimbabwe japo ufe umewaachia mkwanja wazazi wako.😠🤦🤦🤦🙌
Usijinyonge pekeyako tafadhali,tujinyonge pamoja jirani.Maisha ni kusaidianaJirani mbona kwa hasira hivi... Jirani naomba nijinyonge kwa ajili yako...
Jirani acha nitangulie mimi kwanza... Ili upate kurithi...Usijinyonge pekeyako tafadhali,tujinyonge pamoja jirani.Maisha ni kusaidiana
Nami kama mke wa Mrema,sijafuata Mali🤣🚴❤️Jirani acha nitangulie mimi kwanza... Ili upate kurithi...
Jirani mali zangu ni zako... Mali zako ni zako mwenyewe...Nami kama mke wa Mrema,sijafuata Mali🤣🚴❤️
Mali zako za Mimi na wanao,Mali zangu ni zangu na wanao🤣🤣🤣❤️Jirani mali zangu ni zako... Mali zako ni zako mwenyewe...
Hapana jirani, mali zako tumia mwenyewe, zangu tumieni wote...Mali zako za Mimi na wanao,Mali zangu ni zangu na wanao🤣🤣🤣❤️
😘basi Leo jioni nakuja jirani unipange vizuri,nikuletee nnHapana jirani, mali zako tumia mwenyewe, zangu tumieni wote...