Hahahahaa mimi sijaribiwi, you know??Teh tehhhhhhh faza naona unataka WW3
Utaipata soon
Naam sheikh... hapo unamkamata mchuchu huku mvua inanyesha... ukiwa na nguvu ya mizigo sita...Itakuwa ya ukweli shehe,
Shehe ila sio haba alhamdulilah.
Ukishajua utanufaika na nini? Kwani wewe ndio mahondaw ?
hahahahaKama kweli ndio Huyo! Najua kutakuwa na ushindani mkubwa kumpata, na kama kuna ushindani na Mimi nitakuwa sehemu ya washindani! Nipo tayari kumwaga Sera! Na hata vyeti nitaweka akivitaka.
Kuna siku utakatwa kichwa.Smart akikasirika anakua mnyama kabisa Wee mtu Mpole msikie tu Leo nimeyaona leo
Mahondaw kuna nini hadi matusi makubwa makubwa hivi kama Mange wa Ig
hahaha nakuona nakuona uko mubashara [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi kati yangu mimi na wewe nani kawa mkimya?? We hata nikikuwhatsapp unanichunia... au kwakuwa nilikutongoza??
Shehe fursa hioOMG.....!!!!
Kwakweli kijana wangu ni mroho wa madaraka...Teh kasahau ulichomtuma yupo bize tuu.....anahangaika na to.toz
Si unajua.....hataki kula wali mkavu.
Nimejaa tele kama pishi la mchele.dah..upo?
hahahahMultiple id's at work khakha wala sishangai
Afu umesahau k mimaji smell pia ni bahari
Sema kingine.
Manina zenu ndo nyie mnaopanga kuniharibia ilimradi tu mxxiiiiiiiooouuuusssss!
Kumbeee......Sasa huyo mrembo mbona umemzidi kabisa. Kwa uzuri.. au hujijui?