Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

mkuu kuna kitu hapa hakieleweki... upo serious na uzi wako au ulikuwa kwenye masihara tu... mahondaw anadai unamharibia na kuna unalolijua... hebu weka wazi maana kuna wengine wanadai wewe ni Smart911 sababu ya hiyo picha... na hebu weka wazi huyo ndo mahondaw kweli au!!!!
Ukishajua utanufaika na nini? Kwani wewe ndio mahondaw ?
 
Kijana wangu yuko bize anahangaika na ilani ya uchaguzi...

Weekend hii nimepka kazi ampeleke espy kwa mumewe...

Daby leta mlisho nyuma wa hili zoezi tafazali
Teh kasahau ulichomtuma yupo bize tuu.....anahangaika na to.toz

Si unajua.....hataki kula wali mkavu.
 
Back
Top Bottom