Nampenda sana Mahondaw

Ndo upate uchungu kama ninaofeel hapa. anyway R.I.P mama Ivuga so sorry

Hivi mnajua vile today furahi day tuvokua tumeplan na smart ? what do you expect after all these shits??
Siamini kama Smart wako atakwazika na huu upuuzi ulioanzishwa na huyu mleta mada.

Kama amekwazika nambie niongee naye, ntampunguzia mahari then mambo yatanyooka.
 
Nyie wanaume mnaopeleka vimatako vyenu kwa smart smart hana shida nanyinyi muache kujiuza uza mbele yake hamna cha kumpa akawaelewa jamani tembezeni bakora zenu kwingine. Idiots
 
mbona mkali hivyo jamani? Simba ni mkali lakini ana watoto, tulia tuyajenge mama.
 
Hawa mods hawa watakuwa wanalewa ma jeans na raba kutoka wolper shop..yaani uzi mwanana ule wanaufuta kwa nini?
Yaan hapa nishautafuta balaa,nimeudhika haswaa ,hapa nasubiria manhe aamke
 
Ndo upate uchungu kama ninaofeel hapa. anyway R.I.P mama Ivuga so sorry

Hivi mnajua vile today furahi day tuvokua tumeplan na smart ? what do you expect after all these shits??
Asante for Appreciation.
Ila sasa kwa ni smart anataka msichana mzuri kama wewe usipendwe na wanaume wengine?
Ndio anatakiwa afurahi kwanza kwa sababu wewe ni mzuri lazim watu wakutongoze lazima wakutamani.
Japo mm skitamani wala skutongozi mm nilikuwa naleta tu daily drama za JF sikujua kama nje ya JF mmependana.
Na najuta ningejua singeleta ile mizaha.
Huyo smart mueleweshe tu ataelewaz
Kama haelewi piga chini kuja huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…