Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

63456fa2eeb377a42fab498f76676ab1.jpg

Nabadoo tuma picha zangu zootee hizo hazitoshiii
I only care about Smart911 tu
 
Ofcooooooooooourse watatapika sana awamu hii wajipange upya khakhaakhaa
Siye teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiii ndokwanzaaa kama wametia ndimu
Haya they wanted to Smart911 reactions on that nyoooo imekula kwao mazimaa
Siwezi kukukasirikia kwa muda mrefu love... Maelezo yako yamenirishisha mahondaw wangu... Nakupenda..
 
Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
C91bVUKXoAAJaNa.jpg
MUNGU fundi kwa kweli

Huyo mtoto si wa mchezo mchezo.
 
Mahondaw endelea kutafakari ofa yangu ya mishahara ya mwaka mzima, Gud night
 
Back
Top Bottom