Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

Hapo Blue: Ni kweli Mahondaw ni wa siku nyingi... Ila mleta mada kajiunga JF January mwaka huu. Miezi mitatu kwake ilimtosha kumsoma Mahondaw na kuvutiwa naye...Hii thread haijaletwa na mtu wa Siku nyingi JF, usisahau.

Hapo red hapo ndo unazidi kuchanganya madawa... Kwa mujibu wa bibie ni kwamba ulikasirika... na wewe pia umethibitisha ulikasirika mpaka ukacancel date.... inakuwaje hivi sasa unasema ulichukulia kawaida ilhali kukasirika kwako ndo kumemfanya bibie achanganyikiwe??

Wewe kilichokuumiza hasa nini labda???
Kama ni kukasirika nimekasirika mimi nimetukana mimi wewe umeumia nini??
Otherwise uwe unahusika chini ya carpet.
 
You have a point... Nikibisha nitakuwa jeuri na sipo hivyo... But nothing intense have been public kabisa... Hakuna picha za mitoko tumeweka, hakuna picha za vyakula tunavyokula, hakuna picha za nini tunafaya... What we are showing here ni kidogo sana sana... But tuna mengi sana ambayo kamwe hayawezi kupatikana popote pale...

Tatizo ni kwamba... She had been in JF muda mrefu tu... Nothing had happen to her... Am with her now, almost kila mtu anajifanya kumjua sana sasa na wengine wanajifanya kuwa na taarifa zake... They now nothing about mahondaw life... I know all...

Siyo rahisi watu kuja kujua exactly whats happening between me and her...
Najua kama anatongozwa sana... Uzuri mmoja about me nina roho ya kusema alafu siweki manbo rohoni...


Cc: mahondaw

Baelezeeee Baelezeeee babaa
Thanks Smart911 wangu
Yes wewe ni wanguuuuuu no matter what
Na ndokwanzaaa tunazidi kupendana regardless the maneno maneno blah blah kibao
Asante sana Smart911 wangu
 
Uko sahihi kabisa... ukijiona mwenye moyo mwepesi basi mnafanya maamuzi magumu kama walivyofanya wengine. Mnabadili IDs au mnasepa kabisa JF ili wanajamii wasivuruge penzi lenu.

Sie wengine tushazoea utani, tunajitongozea kila binti kimatani. Sasa kama mtu ana moyo mwepesi si anaweza kupasua screen bure kwa sababu tu matongozano na matani???

Huo ni mtazamo wako ujue akili ni nywele kila mtu ana zake
Sasa umapofosi kukubaliana nawewe khakhaakhaa
We are very sorry ndugu
 
Kwani hiyo pic aliyoweka ni wewe kweli tupia nyingine kama mbili tuone au mnatengeneza janja ya utapeli tuone kama wewe na mleta Uzi mna bifu kumbe ni janja ya biashara matangazo mana utapeli umekua mwingi sana mitandaoni

Sina picha hata moja hapo nishasema zamaaaaaani mimi ni kibibi kabisa kishamba kipo kipo tu ni Mtu mwingineeeeeeee sasa nashindwa kuelewa maneno yote hayo yanatoka wapi
 
Thanks my Smart911
I love you much more ujue vile umefanya watu wameumbuka
They thought they would ruin our relationship ndokwanzaaa wamekamulia ndimu khakhaakhaa mengine
Wacha nifunge domo langu as you told me
Yap love... I taught you, to never let words bring you down... You are beautiful no matter what they say... What wont kill me and you, will me us stronger...
 
Usijali mahondaw wangu... Mapenzi ni kuelewana,kupatana na kuaminiana...

As we do Smart911 and mahondaw khakhaakhaa
Uwiii sijui nijinyonge mbona hawa watu ndokwanzaaa wanazidi kupendana??
I wanted to destroy ndokwanzaaa naona naona duhhhhhhhhhhh mission impossible teh


I love you Smart911 unajua vile jana nivopanic ee si kwa kuahirishiwa ile kitu uwiii I was about to die
Thanks God kwakweli pray the Loooooord
Halleluyaaaaaaaaa!
 
Yap love... I taught you, to never let words bring you down... You are beautiful no matter what they say... What wont kill me and you, will me us stronger...

Yeah those are just challenges of life

Nashukuru Mungu vile ulivo na moyo mgumu khakhaakhaa
You're are not that much easy Smart911 wangu
Nakupendajee
 
Yap love... I taught you, to never let words bring you down... You are beautiful no matter what they say... What wont kill me and you, will me us stronger...

And am so grateful for you Smart911 mylove
You taught me so many important things in life vile vya msingi sana yani asante sana mungu akubariki akujaalie afya na uzima tele Smart911 wangu
 
Yani koment ni nyingiii sijui nianzie wapi hata
Anyway today I only focus khakhaakhaa

Nacheka kwa dharaaaau
Smart911 sweetlove thanks so much
I love you even more my papito


espy mate nashukuru sana ushauri wako niliufanyia kazi thank you so much for your concern mate
No worries mahondaw wangu... Am here for you... In good or bad... Better or worse....
 
As we do Smart911 and mahondaw khakhaakhaa
Uwiii sijui nijinyonge mbona hawa watu ndokwanzaaa wanazidi kupendana??
I wanted to destroy ndokwanzaaa naona naona duhhhhhhhhhhh mission impossible teh


I love you Smart911 unajua vile jana nivopanic ee si kwa kuahirishiwa ile kitu uwiii I was about to die
Thanks God kwakweli pray the Loooooord
Halleluyaaaaaaaaa!
Mbona ulipanic sana???
Ungechukulia kawaida2
 
And am so grateful for you Smart911 mylove
You taught me so many important things in life vile vya msingi sana yani asante sana mungu akubariki akujaalie afya na uzima tele Smart911 wangu
I am greatfull to be accepted by a wonderful lady like you... I will teach you all love... I will show you all... If not me no one else will...
 
Yeah those are just challenges of life

Nashukuru Mungu vile ulivo na moyo mgumu khakhaakhaa
You're are not that much easy Smart911 wangu
Nakupendajee
Challenges indeed love... And how over come them.. Is by ignoring all... What makes us happy we will continue dong it...

We will do what we like to do and no body can do about it..
 
Back
Top Bottom