Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Blue: Ni kweli Mahondaw ni wa siku nyingi... Ila mleta mada kajiunga JF January mwaka huu. Miezi mitatu kwake ilimtosha kumsoma Mahondaw na kuvutiwa naye...Hii thread haijaletwa na mtu wa Siku nyingi JF, usisahau.
Hapo red hapo ndo unazidi kuchanganya madawa... Kwa mujibu wa bibie ni kwamba ulikasirika... na wewe pia umethibitisha ulikasirika mpaka ukacancel date.... inakuwaje hivi sasa unasema ulichukulia kawaida ilhali kukasirika kwako ndo kumemfanya bibie achanganyikiwe??
You have a point... Nikibisha nitakuwa jeuri na sipo hivyo... But nothing intense have been public kabisa... Hakuna picha za mitoko tumeweka, hakuna picha za vyakula tunavyokula, hakuna picha za nini tunafaya... What we are showing here ni kidogo sana sana... But tuna mengi sana ambayo kamwe hayawezi kupatikana popote pale...
Tatizo ni kwamba... She had been in JF muda mrefu tu... Nothing had happen to her... Am with her now, almost kila mtu anajifanya kumjua sana sasa na wengine wanajifanya kuwa na taarifa zake... They now nothing about mahondaw life... I know all...
Siyo rahisi watu kuja kujua exactly whats happening between me and her...
Najua kama anatongozwa sana... Uzuri mmoja about me nina roho ya kusema alafu siweki manbo rohoni...
Cc: mahondaw
Uko sahihi kabisa... ukijiona mwenye moyo mwepesi basi mnafanya maamuzi magumu kama walivyofanya wengine. Mnabadili IDs au mnasepa kabisa JF ili wanajamii wasivuruge penzi lenu.
Sie wengine tushazoea utani, tunajitongozea kila binti kimatani. Sasa kama mtu ana moyo mwepesi si anaweza kupasua screen bure kwa sababu tu matongozano na matani???
Ama kweli kuishi kwingi, kuona mengi.
Kuna mengine nilikuwa sijayaona bado... Naendelea kujifunza.
Kwani hiyo pic aliyoweka ni wewe kweli tupia nyingine kama mbili tuone au mnatengeneza janja ya utapeli tuone kama wewe na mleta Uzi mna bifu kumbe ni janja ya biashara matangazo mana utapeli umekua mwingi sana mitandaoni
Yap love... I taught you, to never let words bring you down... You are beautiful no matter what they say... What wont kill me and you, will me us stronger...Thanks my Smart911
I love you much more ujue vile umefanya watu wameumbuka
They thought they would ruin our relationship ndokwanzaaa wamekamulia ndimu khakhaakhaa mengine
Wacha nifunge domo langu as you told me
Usijali mahondaw wangu... Mapenzi ni kuelewana,kupatana na kuaminiana...
Yap love... I taught you, to never let words bring you down... You are beautiful no matter what they say... What wont kill me and you, will me us stronger...
Kwa kipi ?ic hapo kweli unaweza honga hata mshahara wa mwezi mzima,
Yap love... I taught you, to never let words bring you down... You are beautiful no matter what they say... What wont kill me and you, will me us stronger...
No worries mahondaw wangu... Am here for you... In good or bad... Better or worse....
Mbona ulipanic sana???As we do Smart911 and mahondaw khakhaakhaa
Uwiii sijui nijinyonge mbona hawa watu ndokwanzaaa wanazidi kupendana??
I wanted to destroy ndokwanzaaa naona naona duhhhhhhhhhhh mission impossible teh
I love you Smart911 unajua vile jana nivopanic ee si kwa kuahirishiwa ile kitu uwiii I was about to die
Thanks God kwakweli pray the Loooooord
Halleluyaaaaaaaaa!
I am greatfull to be accepted by a wonderful lady like you... I will teach you all love... I will show you all... If not me no one else will...
Challenges indeed love... And how over come them.. Is by ignoring all... What makes us happy we will continue dong it...Yeah those are just challenges of life
Nashukuru Mungu vile ulivo na moyo mgumu khakhaakhaa
You're are not that much easy Smart911 wangu
Nakupendajee