Ntandaba ww aufai kuwa rafiki unataka kummega mke wa rafiki yako urafiki gani wa hivyo, Kwanza wewe una mke, na kama una mke? Usikie story mtaani kuwa mkeo anagegedwa na mtu baki tu umjui na wala umfahamu acha rafiki, utajisikiaje acha tamaa zisizo na mpango utakufa bure kijana au ujawai kufumaniwa wewe ndio maana, unaharuka, uliza arusha huko mtu kamfumania hawara yake tu sio mke alimpangia room maladhi chakula huduma zote jamaa alikuwa anamgaramia demu mpaka jamaa akampangia nyumba demu wake demu akawa anachepuka nje na jamaa mwingine na kumdharau jamaa yake yule wa awali aliempangia nyumba matokeo yake yule demu mapenzi yalivyowanogea, demu yule akawa anamchukua yule hawara wake mwingine wa nje anamleta nyumbani alikopangiwa na yule jamaa yake siku aliowakuta jamaa kawafunga kamba kwenye Godoro akawalipua na moto, sasa wewe kama zirael mtoa roho za watu anakwiita fanya huo mchezo wako lakini siku ukifumaniwa ndio utajua kama kachumbari ni mboga au kibwagizo, na ujuwe mapenzi hayana Siri...!!