Nampenda sana Nargis Mohamed

Nampenda sana Nargis Mohamed

Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633

Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Ukiona tu unaanzishiwa Uzi jua moja wapo kati ya yafuatayo......

1. Una Kashfa mahala hasa ya Kimapenzi
2. Kuna Jambo baya Umefanyiwa
3. Kuna Mkubwa Serikalini / Mfanyabiashara mkubwa anakubandua
4. Unaandaliwa Kuchafuliwa Mitandaoni
5. Maisha yamekupiga
6. Umeshaathirika na Dally Kimoko ( UKIMWI )
7. Aliyekuanzishia Uzi anachokoza Watu wanaokujua Undani wako wafunguke japo Yeye katika Uzi anajifanya Kukusifu.
 
Huyo huyo, mcheki pasco akupe mastori mambo yalivyokuwa yakifanyika, jamaa alikuwa anatoa udhamini ili awe karibu na warembo wakiwa kambini then anapoint mmoja ole wake akatae, hata top ten haingii
Halafu si alikuwa na umeme!! Usinambie kawasambazia na umeme wa REA 🤣
 
Back
Top Bottom