GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ukiona tu unaanzishiwa Uzi jua moja wapo kati ya yafuatayo......Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633
Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
1. Una Kashfa mahala hasa ya Kimapenzi
2. Kuna Jambo baya Umefanyiwa
3. Kuna Mkubwa Serikalini / Mfanyabiashara mkubwa anakubandua
4. Unaandaliwa Kuchafuliwa Mitandaoni
5. Maisha yamekupiga
6. Umeshaathirika na Dally Kimoko ( UKIMWI )
7. Aliyekuanzishia Uzi anachokoza Watu wanaokujua Undani wako wafunguke japo Yeye katika Uzi anajifanya Kukusifu.