Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya


Swali zuri.

Uhakika nilio nao ni kwaba Makardinali wote walioko nchini kwao wanaongoza Majimbo Makuu.

Sio lazima Jimbo Kuu la Dar.

Uamuzi wa Kiutawala tunausubiri.

Nimefurahi unasalia Kanisa la Kristu Mfale, Sumbawanga
 
Kardinali atatusaidia nini katika maisha ya kila siku ya Watanzania, what i see ni Roman Catholic in Rome ndio wanajua faida yake.
Mm Ni mkkkt ila wee Ni mpuuzi tu hukui kuwa Roma Catholic ndio kanisa mama duniaa acha ujinga tuungane kumpongeza kardinali huyo na kanisa pia kwa kumpata kadinali mpya kwa nyakati hz tulizopo kwani pengeni kizazi chote Cha 2000 kingeisha bila kuwepo kardinali
 
Nimepokeaa ufafanuzi huu ila ungeweka ktk Google translators ieleweke

Mkkkt mtihifu
 
Sijawahi sikia mnyambo anaitwa Rugambwa kwanza.

Kuna Rugambwa ambao ni Wanyambo, Wahaya, Wasubi, Wazinza na Wakara.

Nasikia kuwa, katika lugha hizo za Kibantu, Mzizi wa jina "Rugambwa" ni kitenzi "kugamba", yaani kuongea.

Katika passive form, "kugamba" inakuwa "kugambwa", yaani kusemwa.

Kwa hiyo, katika lugha hizo za Kibantu "Rugambwa" ni tu anayesewa semwa sana.

Nadhani sasa umeelewa
 
Embu ongezaa nyama kidgo mkuu nafutiwa sna hbr hz nzuri

Hongeraa kanisa katoliki
Mm Ni

Mkkkt Ebenezer ilazo ddm
 
Nionyeshe mzigua anaeitwa Rugambwa,
Speak with evidence.

Maana hii ya kuzaliwa Karagwe umefeli ukaanza kutuambia eti ulimaanisha vingine.
 
Upumbavu Gani wakati naona uongo mtupu hapo, mtu hajazaliwa Karagwe unasema kazaliwa Karagwe.
Anyway nimeandika vitu in reality kamuulize Mhaya yeyote atakuambia ni sawasawa na kusema Mhaya ni Mrundi, ni tusi kubwa kuliko kumuita k.
Mkuu the best...

Mbna upo ktk Uzi huu kinamna fln kupinga siyo kupinga kukanusha siyo kuanusha embu uwe was

Au umezakiwa na mapdri
 
... wachaga wamekosea wapi? Ndio wanaongoza kwa idadi ya maaskofu, mapadre, masista, mashemasi, n.k. Anyway, uamuzi wa Papa ni alfa na omega; wanavyosema wao signature yake ni mwisho.
What if kesho wanapewa? Kanisa Katoliki ni zaidi ya systems hizi za dunia hii. Wanaona tusipoona.
Wanahamisha Cardinal kutoka Dar kwenda Tabora. Pengine kesho watarudisha Dar. Who knows?[
 
Upumbavu Gani wakati naona uongo mtupu hapo, mtu hajazaliwa Karagwe unasema kazaliwa Karagwe.
Anyway nimeandika vitu in reality kamuulize Mhaya yeyote atakuambia ni sawasawa na kusema Mhaya ni Mrundi, ni tusi kubwa kuliko kumuita k.
The best ...

Tueleze ujuacho juu ya kardinali huyu
 
Mkuu the best...

Mbna upo ktk Uzi huu kinamna fln kupinga siyo kupinga kukanusha siyo kuanusha embu uwe was

Au umezakiwa na mapdri
Mimi siko Kwa lengo la kupromote kabila au mambo ya kikabila.
Mi Kuna information imeandikwa hapo sikubaliani nayo.

Rugambwa hakuzaliwa Karagwe na sio mnyambo . Sasa Kuna info nimepata kuwa Rugambwa pia wazigua wapo kisa ni neno la kibantu, kwani Mwakalebela sio la kibantu? Ushawahi sikia jina hilo Kagera au kokote kusikokuwa kwenye origin yake huko Mbeya?
 
Kwahyo Wana kataa siyo muhaya au nn mam Amon

Naomba ufafanuzi

Swali lako linaonyesha hujajielimisha kuhusu fasili za maneno haya:
clan,
tribe,
race,
etc

Mpaka sasa hatuna fasili yenye kutaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambuliko wa kundi lolote kati ya hayo matatu (necessary and sufficient definition).

Mfano:

== kwenye ukoo wako (clan) kuna watu ambao sio ndugu wa damu. Kwa hiyo ukoo ni kitu gani na sio kitu gani? Utata

-- kwenye kabila lako (tribe) kuna watu wamezaliwa na wazazi wa makabila tofauti na kibayolojia kila mzazi amehangia damu ya mtoto. Kwa hiyo kabila ni kitu gani na sio kitu gani? Utata

-- vivyo hivyi kwenye mbari (race) kuna watoto wamezaliwa na wazazi wa mbari tofauti, na kila mzazi amechangia damu ya toto. Kwa hiyo mbari ni kitu gani na sio kitu gani? Utata

Yaani, hata ukimwulia mtu yeyote anayejitaja kuwa ni kabila fulani aseme sifa muhimu na za lazima zinazofanya ajitabulishe hivyo, nawe ukiwemo, atapata kigugumizi

Lakini tunazo fasili zenye kutaja sifa za lazima na zenye kutosheleza utambuliko wa makundi kama vile

RAIA WA TANZANIA,

MKRISTO,

MKATOLIKI,

MLUTHERI,

MWANGILIKANA,

MSABATO,

MWISLAMU,

nk

Tutumie mchanganuo huo, unatosha.
 

Lugha za KIbantu zina makundi.
Hizi hapa zinaingiliana na kusikilizana;

Kihaya
Kinyambo
Kiizinza
Kikara
Kisubi

Kote huko kuna kina Rugambwa wengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…