yuko vizuri, mihogo inaonekana laani pia
Karibu sana,
Ila huu ujinga wa kudhan mtu anamiliki hio biashara kila akiisifia ni uzwazwa grade B
Nifikishe hapa kijana Mwachiluwi
Jibu pm bro..... Tukale mihogoLast week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo
Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.
Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Samaki mkubwa kidogo 25,000. Mkubwa zaidi 30,000Hivi bei zake zipoje? Naona anatumia nguvu sana kutangaza
AhahahaNifikishe hapa kijana Mwachiluwi
Hapo uswahilini tu nilienda weeknd moja mpaka kwakukaa panakosekana kabisa af watu ni kukupiga picha bila ridhaa mwisho wanakudai pesa ya picha kwakweli sikupapendaNifikishe hapa kijana Mwachiluwi