Sawa Juma Lokole ambaye ni Shemeji yake Zari 😀 😀 😀 😀 😀Mzee hi ni type error sio daftari kumbuka hapa tuna tuna tumia simu.Unaongea as if ujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Juma Lokole ambaye ni Shemeji yake Zari 😀 😀 😀 😀 😀Mzee hi ni type error sio daftari kumbuka hapa tuna tuna tumia simu.Unaongea as if ujui
🤣🤣🤣🤣🤣 Una utani wa ngumi" mjikerebishe watanzania"
Wabongo sijui tufika wapi kwa style hiiDina anapost corridor za watu wenye nyumba zao mjini...
ukisoma comments za wananzengo utagundua waTanzania nyaya za kichwa ziliwekwa vice versa
Mkuu umeiskia nyimbo mpya ya Konde boy aka mzee wa chitoholi 🙂 🙂 🙂Wabongo sijui tufika wapi kwa style hii
Nimekaribia aisee mbona Kama umejipendelea kiasi hicho anyway hizo pumba unazoona alizoongea zari ziko wapi?Inno bana sio kila anachoongea Zari ni point. Kuna pumba aliongea hapo hujaziona? Anyway karibu msosiView attachment 1477165
Ni nandy ft harmonize wimbo ni wa Nandy.Mkuu umeiskia nyimbo mpya ya Konde boy aka mzee wa chitoholi 🙂 🙂 🙂
Nimekaribia aisee mbona Kama umejipendelea kiasi hicho anyway hizo pumba unazoona alizoongea zari ziko wapi?
Hapana kuna wake mpya unaitwa CCMNi nandy ft harmonize wimbo ni wa Nandy.
Ni nandy ft harmonize wimbo ni wa Nandy.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Chuki ipo sana tu, wengn ukifanikiwaa wanasema freemanson
Me sio team Diamond ila me ni mpenzi wa hustle zake na insta sijamfollow mtu yoyote Kama Alikiba tu.Kule insta team domo wenzio wanauponda wakidhani ni wa harmo
Kama wasingemchokoza yeye asingeongea hivo uwezi kuchokoza ugomvi wakati unaishi nyumba ya vioo dawa imewaingia.View attachment 1477176kwa hapa amepatia ila kutukana watoto wa wengine hajapatia japo na wake wanatukanwa sana poor pugi jaman atakua kaumia sana maana hadi dakika hii sidekid kagoma kuongea fasaha
Sijambo dear, za j'mosi?DS hujambo Mama.
Nzuri MAma, hofu kwako uliembali na uso wa macho yangu 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰Sijambo dear, za j'mosi?
Dina yupi mkuu?Dina anapost corridor za watu wenye nyumba zao mjini...
ukisoma comments za wananzengo utagundua waTanzania nyaya za kichwa ziliwekwa vice versa
Ni Dina yupi mkuu?Wabongo sijui tufika wapi kwa style hii