Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaposema watanzania una maanisha sisi watanzania wote tuna chuki na huyo mganda wako, ebu jaribu kuwanyooshea kidole wote ambao wana chuki na huyo Zari.
@DianaSpencer Sidekid ndio Nani?
Walozaa na diamond hakuna hata mmoja alomuoa wote wamezaa side kid
Dinazarde Nini maoni yako kwenye hili nimeona uko Kuna mtu anaitwa anifah comment yake inatred huko insta ameandika comment ya malalamiko ya kuwa zari amewadhalilisha watanzania na akawatag basata,ikulu ya mawasiliano na viongozi wa serikali nakuomba zari afungiwe asije Tanzania nilikuwa nataka nikuwekee comment yake hapa ila imekataa niliyosceenshot.Walozaa na diamond hakuna hata mmoja alomuoa wote wamezaa side kid
Dinazarde Nini maoni yako kwenye hili nimeona uko Kuna mtu anaitwa anifah comment yake inatred huko insta ameandika comment ya malalamiko ya kuwa zari amewadhalilisha watanzania na akawatag basata,ikulu ya mawasiliano na viongozi wa serikali nakuomba zari afungiwe asije Tanzania nilikuwa nataka nikuwekee comment yake hapa ila imekataa niliyosceenshot.
Sidekid haongei kweli?
Kakosea vingi sana huyu mama..We unavyoona kapatia au Kuna maala kakosea
Teh teh[emoji1787] Numbi ni wewe?
Bibi katufokea asee
Dalan sijui Dylan, siunajua side chick anapenda kuiga iga kila kitu, kuanzia majina, tiktok za zari, kiinglish, swaga etc@DianaSpencer Sidekid ndio Nani?
Sio maneno yangu ni ya Zari akiwambia watanzania "MjikerebisheHii ishu ni yenu wanawake.. Sidhani kama wote tunahusika.
AttitudeNione matusi alotukanwa tiffa ndio nitoe comment
" vitoto vyenuu vya primary[emoji28]Kabisa
Zari umaarufu kaupatia Tz anavyoleta dharau sasa
Habari za kingbae ziliishia wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kuna mmoja kati ya hao wote anajihesabu mkeWalozaa na diamond hakuna hata mmoja alomuoa wote wamezaa side kid
Yupo page gani, nimcheki instaDinazarde Nini maoni yako kwenye hili nimeona uko Kuna mtu anaitwa anifah comment yake inatred huko insta ameandika comment ya malalamiko ya kuwa zari amewadhalilisha watanzania na akawatag basata,ikulu ya mawasiliano na viongozi wa serikali nakuomba zari afungiwe asije Tanzania nilikuwa nataka nikuwekee comment yake hapa ila imekataa niliyosceenshot.
Anajiita nani insta?nimeona hiyo comment na Anifalahmad yupo sawa tu kutoa maoni yake maana ni katukana Tz nzima badala ya kuwasema hao wanainsta wenzake
Unajua ukiwa public figure kubali kukosolewa na pia sijaona alipotukanwa mwanae ndio nashangaa mim mapovu hayo vepee ,bila Tz kumjazia followers angekuwa wapi hebu atuliage huko huko
Diamond kazalisha kila mtu asijione special
Kuna mmoja kati ya hao wote anajihesabu mke
Kakosea vingi sana huyu mama..
Dharau nyingi sana
Anadharau sana watanzania kiasi kwamba eti so called "Tiffah ndo atatutoa kimaso maso[emoji134][emoji849]
Eeh asee niliona hiyo clip, alafu eti anajifanya nae wanae wanatema yai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama mtu anavyoiga iga vya south si tungekua tushaona. Kuna siku alijaribu kid akashindwa tamka