Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Teh teh[emoji1787] Numbi ni wewe?Inno bana sio kila anachoongea Zari ni point. Kuna pumba aliongea hapo hujaziona? Anyway karibu msosiView attachment 1477165
Bibi katufokea asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh[emoji1787] Numbi ni wewe?Inno bana sio kila anachoongea Zari ni point. Kuna pumba aliongea hapo hujaziona? Anyway karibu msosiView attachment 1477165
Anatufokea sisi kweliNimekaribia aisee mbona Kama umejipendelea kiasi hicho anyway hizo pumba unazoona alizoongea zari ziko wapi?
Sidekid haongei kweli?View attachment 1477176kwa hapa amepatia ila kutukana watoto wa wengine hajapatia japo na wake wanatukanwa sana poor pugi jaman atakua kaumia sana maana hadi dakika hii sidekid kagoma kuongea fasaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Teh teh[emoji1787] Numbi ni wewe?
Bibi katufokea asee
We unavyoona kapatia au Kuna maala kakoseaAnatufokea sisi kweli
Mkuu unaposema watanzania una maanisha sisi watanzania wote tuna chuki na huyo mganda wako, ebu jaribu kuwanyooshea kidole wote ambao wana chuki na huyo Zari.Ukiwa maskini utasemwa Sana ukiwa tajiri watakuchukia sijui Watanzania wanataka uweje kwako Mshanajr inasemaje kwenye hili
@DianaSpencer Sidekid ndio Nani?Sidekid haongei kweli?
Simaanishi Ni kwa zari tu hii tabia ya chuki ipo Sana Tanzania hasa mtu akifanikiwa iwe Ni mwanamziki, Politician, Muigizaji, Mfanyabiashara au neighbour n.k mfano mzuri nikamtolea huyo dereva wa daladala kwenye Uzi wanguMkuu unaposema watanzania una maanisha sisi watanzania wote tuna chuki na huyo mganda wako, ebu jaribu kuwanyooshea kidole wote ambao wana chuki na huyo Zari.
Ujue nini Mkuu Inno, Chuki Unakuumiza Wewe Kuliko Unayemchukia, Unapomchukia mtu, kwa hakika, unajibebesha mzigo mzito kihisia. Unakuwa na kazi na kupambana na mtu ambaye pengine hana habari na wewe. Wakati wewe ukijiumiza kwa kutamani aharibikiwe, mwenzako ndio kwanza anafanikiwa. Chuki, katika mazingira haya, inakuwa na kazi ya kukuumiza wewe kuliko inavyomwumiza unayemchukia.Simaanishi Ni kwa zari tu hii tabia ya chuki ipo Sana Tanzania hasa mtu akifanikiwa iwe Ni mwanamziki, Politician, Muigizaji, Mfanyabiashara au neighbour n.k mfano mzuri nikamtolea huyo dereva wa daladala kwenye Uzi wangu
Watu wenye tabia ya wivu na chuki wakiona hii comment yako wanaweza kujifunza kitu.Ujue nini Mkuu Inno, Chuki Unakuumiza Wewe Kuliko Unayemchukia, Unapomchukia mtu, kwa hakika, unajibebesha mzigo mzito kihisia. Unakuwa na kazi na kupambana na mtu ambaye pengine hana habari na wewe. Wakati wewe ukijiumiza kwa kutamani aharibikiwe, mwenzako ndio kwanza anafanikiwa. Chuki, katika mazingira haya, inakuwa na kazi ya kukuumiza wewe kuliko inavyomwumiza unayemchukia.
Hakuna mtu anaeimiliki chuki lakini kuna ambao wanatengeneza mazingira ya wao kuchukiwa na pia wanafurahia jinsi wanavyochukiwa na wanazengo, ni sawa na kwamba Mahusiano ya mume na mke au mapenzi kati ya mtu mume na mke, hayawezi kumpa mmoja wapo au wote haki ya kummiliki mwengine. Kila mmoja analindwa na sheria.Watu wenye tabia ya wivu na chuki wakiona hii comment yako wanaweza kujifunza kitu.
Kuna wengine wanakuchukia bila hata sababu za msingi.Hakuna mtu anaeimiliki chuki lakini kuna ambao wanatengeneza mazingira ya wao kuchukiwa na pia wanafurahia jinsi wanavyochukiwa na wanazengo, ni sawa na kwamba Mahusiano ya mume na mke au mapenzi kati ya mtu mume na mke, hayawezi kumpa mmoja wapo au wote haki ya kummiliki mwengine. Kila mmoja analindwa na sheria.
Mkuu hakuna mtu anaemchukia mwenzake bila sababu ya msingi hata kama sababu zake sio rasmi kwako lakini kwake ni rasmi.Kuna wengine wanakuchukia bila hata sababu za msingi.
Hii ishu ni yenu wanawake.. Sidhani kama wote tunahusika." mjikerebishe watanzania"