Nampongeza Zari The Boss kwenye hili

Kweny hili niko pamoja na Zari the Boss Lady.
 
kwa hapa amepatia ila kutukana watoto wa wengine hajapatia japo na wake wanatukanwa sana poor pugi jaman atakua kaumia sana maana hadi dakika hii sidekid kagoma kuongea fasaha
Nimekaribia aisee mbona Kama umejipendelea kiasi hicho anyway hizo pumba unazoona alizoongea zari ziko wapi?
 
Ukiachana na hayo unaweza ukanipa namba yake?mi nampenda sana nataka anibariki siku moja nipige hata cha jogoo.
 
View attachment 1477176kwa hapa amepatia ila kutukana watoto wa wengine hajapatia japo na wake wanatukanwa sana poor pugi jaman atakua kaumia sana maana hadi dakika hii sidekid kagoma kuongea fasaha
Kama wasingemchokoza yeye asingeongea hivo uwezi kuchokoza ugomvi wakati unaishi nyumba ya vioo dawa imewaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…