Namshangaa huyu mwanamke wangu

Hapo shida ni ufupi na ukibonge,sasa wakati unamtongoza hukuyaona hayo?
Kama ulitaka kupiga tu,wenzako huwa hatusave hata namba..na unahakikisha ukimla unamlipa baada ya hapo hutamfuti tena,mwenyewe atajiongeza.
Mi mgeni huku basi ngoja ni take a note mzee
 
kwahyio kilicho kupeleka kwake ni kipi kama ni hivyo
 
Are you coming from Dasalam kinondoni...?


Imeandikwa mwanaume aoe wanawake awapendao wawili,watatu adi wanne ila akiohofia kutofanya uhadilifu basi aoe mmoja...
 
Ulimtongozaje usiyempenda?
 
Nitumie namba yake PM nimkanye aache kukung'ang'ania
 
Eb ...kwanza fafanua ngono za kivita zipo vipi
 
Ngono za kivita!!Kiaje hio mkuu[emoji3525]
 
Baada ya kumchoka ndo umeona mweusi na mfupi,ulaaniwe
Kipimo unachompimia mwenzio ndicho utachopimiwa,subiri utakutana na kiboko yako

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Kwa taarifa yako nshaumizwa saana hapa na mi narudisha kisasi na nnawaumiza kinyama huyu ka wa8 ivi
 
Are you coming from Dasalam kinondoni...?


Imeandikwa mwanaume aoe wanawake awapendao wawili,watatu adi wanne ila akiohofia kutofanya uhadilifu basi aoe mmoja...
Nipo dasalama na nnao ka sita hivi wote wananihonga na kunibembeleza nisiwaache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…