Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

Ninaipenda na kuishabikia CCM kwa kuwa haina sera za MAJIMBO......

Hebu angalia ETHIOPIA inavyoe delea kuteketea kwa sababu ya SERA YAKE YA MAJIMBO.....

Watigrinya wa Tigray ni 6% ya raia wote.....NGUVU ZA KIUCHUMI ,KIJESHI NA KIUSHAWISHI WALIZONAZO zilitokana na KUBEBWA KIMAJIMBO.....leo wanatwangana......wanataka KUJITENGA.....wanataka waanzishe TAIFA LAO.....

CCM iliyaona hayo muda mrefu ndio maana huoni katika ILANI ZAO ZA UCHAGUZI WANAWEKA SERA ZA MAJIMBO......

Sasa hebu watafakari CHADEMA na sera zao za majimbo......

#KaziIendelee
Marekani inateketea pia kwa sababu ya sera za majimbo???????!!!!. Vipi Tanzania tuna nini wakati hatuna sera za majimbo? By the way una elimu gani? Maana nisije nikawa nauliza maswali yaliyo nje ya ufahamu wako?
 
Uhuru wa kuchagua, usichoelewa mtoa mada bila ccm chadema haiwezi kuwa kitu pia. Kuna kutegemeana hapa
 
Marekani inateketea pia kwa sababu ya sera za majimbo???????!!!!. Vipi Tanzania tuna nini wakati hatuna sera za majimbo? By the way una elimu gani? Maana nisije nikawa nauliza maswali yaliyo nje ya ufahamu wako?
Nimekutolea mfano wa nchi ya AFRIKA.....tunaofanana HULKA ,TABIA ,MILA ,TAMADUNI NA HISTORIA wewe unakwenda kunitolea mfano wa MAREKANI....are you serious dude?!!!

Kwa hiyo tunajilinganisha na wamarekani?!!


Wazungu wa Marekani?!!!

Anyway nikujibu kuwa HISTORIA YA MAJIMBO YA TAIFA HILO TUSILOWIANA NALO inatokana na HISTORIA YAO YA UBEBERU.....UBEPARI....UMANGIMEZA.....MASHAMBA MAKUBWA YA KUHIFADHI WATUMWA.....KUFUKUZWA WAZAWA WAHINDI WEKUNDU ....
tunafanana nao?!!!

Bado tunafanana nao?!!!!!

#SiasaNaHistoria
#KaziIendelee
 
Hata Chadema wanaipenda CCM kwa sababu inawapa ruzuku na kuwanunua kama bidhaa!
Jibu zuri, je kwa wale wasiopata ruzuku na kununuliwa wanaipendea nini? Tuanze na wewe. Unaipendea nini ccm kama sio miongoni mwa wale niliowataja na uliowataja?
 
Nimekutolea mfano wa nchi ya AFRIKA.....tunaofanana HULKA ,TABIA ,MILA ,TAMADUNI NA HISTORIA wewe unakwenda kunitolea mfano wa MAREKANI....are you serious dude?!!!

Kwa hiyo tunajilinganisha na wamarekani?!!


Wazungu wa Marekani?!!!

Anyway nikujibu kuwa HISTORIA YA MAJIMBO YA TAIFA HILO TUSILOWIANA NALO inatokana na HISTORIA YAO YA UBEBERU.....UBEPARI....UMANGIMEZA.....MASHAMBA MAKUBWA YA KUHIFADHI WATUMWA.....KUFUKUZWA WAZAWA WAHINDI WEKUNDU ....
tunafanana nao?!!!

Bado tunafanana nao?!!!!!

#SiasaNaHistoria
#KaziIendelee
Pole, nakuomba uendelee kujielimisha, bado sana.
 
Jibu zuri, je kwa wale wasiopata ruzuku na kununuliwa wanaipendea nini? Tuanze na wewe. Unaipendea nini ccm kama sio miongoni mwa wale niliowataja na uliowataja?
Siasa siyo dini bwashee kwamba tunasubiri unyakuo.

Siasa ni fursa ndio maana David Silinde ni waziri Prof Kitila ni waziri, Lijualikali ni DC hata wewe CCM ikifika bei utauzwa tu!
 
Siasa siyo dini bwashee kwamba tunasubiri unyakuo.

Siasa ni fursa ndio maana David Silinde ni waziri Prof Kitila ni waziri, Lijualikali ni DC hata wewe CCM ikifika bei utauzwa tu!
Sawa mkuu. Nimekupata. Kiufupi wanaoishabikia ccm ni kwa sababu ya matumbo yao, hapo sawa.
 
Umaskini haujaletwa na CCM ingekuwa hivyo Mbowe ,Mengi na akina Bakhresa no wasingekuwa mabilionea

Matatizo yako usisukumie C CM sukumia ukoo wako na wewe binafsi kwa kulala fofofo wakati fursa ziko kibao
 
Umaskini haujaletwa na CCM ingekuwa hivyo Mbowe ,Amina Mengi na akina Bakhresa no wasingekuwa mabilionea

Matatizo yako usisukumie C M sukumia ukoo wako na wewe binafsi kwa kulala fofofo wakati fursa ziko kibao
Hahahahaha pumbavu kweli wewe, na tozo je na yenyewe mmeshaanza kusema wananchi waliipendekeza!
 
Hahahahaha pumbavu kweli wewe, na tozo je na yenyewe mmeshaanza kusema wananchi waliipendekeza!
Tozo nasimama na wananchi .Hakuna serikali hundred percent perfect duniani kupandisha miamala wamechemka Hakuna mwananchi alipendekeza Ni Zungu na matatizo yake
 
Umaskini haujaletwa na CCM ingekuwa hivyo Mbowe ,Mengi na akina Bakhresa no wasingekuwa mabilionea

Matatizo yako usisukumie C CM sukumia ukoo wako na wewe binafsi kwa kulala fofofo wakati fursa ziko kibao
Kwa hiyo natakiwa nijenge kituo bora cha afya cha kwangu ili wazazi na watoto wachanga wasifariki kwa kukosa huduma ya afya? Kwa hiyo natakiwa nijitafutie chanzo cha maji safi na salama cha kwangu? Basi sawa nimekuelewa.
 
Tozo nasimama na wananchi .Hakuna serikali hundred percent perfect duniani kupandisha miamala wamechemka Hakuna mwananchi alipendekeza Ni Zungu na matatizo yake
Sio zungu,sema serikali ya ccm na matatizo yake.acha kukwepa uweli.
 
Nimekutolea mfano wa nchi ya AFRIKA.....tunaofanana HULKA ,TABIA ,MILA ,TAMADUNI NA HISTORIA wewe unakwenda kunitolea mfano wa MAREKANI....are you serious dude?!!!

Kwa hiyo tunajilinganisha na wamarekani?!!


Wazungu wa Marekani?!!!

Anyway nikujibu kuwa HISTORIA YA MAJIMBO YA TAIFA HILO TUSILOWIANA NALO inatokana na HISTORIA YAO YA UBEBERU.....UBEPARI....UMANGIMEZA.....MASHAMBA MAKUBWA YA KUHIFADHI WATUMWA.....KUFUKUZWA WAZAWA WAHINDI WEKUNDU ....
tunafanana nao?!!!

Bado tunafanana nao?!!!!!

#SiasaNaHistoria
#KaziIendelee
Sawa kwa mfumo huu tulionao umetusaidiaje kupata maendeleo kwa usawa tukiachana na habari za majimbo. Mbona baadhi ya maeneo yenye rasilimali bado wananchi wake wanaogelea kwenye lindi la umasikini licha ya miaka mingi ya kupata uhuru, Sasa nikupe tafakari kidogo nenda katafute kitabu Cha mtu anaitwa W. Rodney "How Europe underdevelop Afrika" ukikisoma vizuri ukaelewa utajua kwanini kuna maendeleo hafifu au hakuna kabisa ni kwamba mzungu alifanikiwa kutugawa ili atutawale Sasa mfumo huohuo ndio uliokuja kutumika baada ya kupata uhuru ndio maana watawala/viongozi na familia zao ndio wanaofaidi matunda ya rasilimali za nchi na sio wananchi kwa ujumla mfano huyo Jiwe alikua anasababu gani ya msingi kununua ndege kwa pesa taslimu wakati kuna huduma za muhimu bado hatujaboresha unakuja kugundua zile ndege watatumia wao zaidi kusafiria kuliko barabara ambayo hata bibi na babu kule vijijini wataitumia kumsafirisha mazao kufikia masoko kwaiyo utaona kabisa Vyama vilivyochangia kuleta uhuru vikiwemo TANU/ASP badae CCM havijaleta majibu ya maendeleo kwa wote ila ni kwa wao wachache ndio maana watu wenye akili bila unafiki hawaitaki CCM
 
Umaskini haujaletwa na CCM ingekuwa hivyo Mbowe ,Mengi na akina Bakhresa no wasingekuwa mabilionea

Matatizo yako usisukumie C CM sukumia ukoo wako na wewe binafsi kwa kulala fofofo wakati fursa ziko kibao
Duh! Kama "justification" zenyewe ndio hizi, kazi ipo!
 
Back
Top Bottom