Hakuna niliposema Naenda Kusema imetoka wakati yupo Yamoto Band bali nimesema aliitoa wakati yupo Mkubwa na Wanawe. Na hapo nimekuuliza; Mkubwa na Wanawe ni ya nani na Yamoto Band ni ya nani?Yamoto band imeundwa baadae sana baada ya izo ngoma kutoka.
Hakukuwa na yamoto band kipindi cha "naenda kusema" ilikuja baadae sana baada ya wakina enock,mbosso na becka kuja.... nawakati yamoto inaanzishwa na vijana hawa wa nne aslay was a star already(talk of the town).
Swali ni: Yamoto Band ni ya nani na Mkubwa na Wanawe ni ya nani?! Hujajibu hilo swali na wala hayo maelezo yako hayajajibu hilo swali!!!Soma comment yangu kabla ya hii nimeeleza vizuri ..yamoto band ipo ndani ya mkubwa na wanawe , msanii anaweza kuwa mkubwa na wanawe lakini si member wa yamoto band..
Aslay alikuwa solo wakati anatamba navibao vyake vilivyomtambulisha mfano "naendakusema" na "kuwa nawe ft temba"
We jamaa unataka kulazimisha X iwe Y, Aslay alikuwa star kabla ya Yamoto Band hivyo vingine unaforce tukueleweHakuna niliposema Naenda Kusema imetoka wakati yupo Yamoto Band bali nimesema aliitoa wakati yupo Mkubwa na Wanawe. Na hapo nimekuuliza; Mkubwa na Wanawe ni ya nani na Yamoto Band ni ya nani?
Hilo swali mbona jepesi sana lakini hutaki kujibu?!
Jibu swali ndugu!! Alikuwa star kabla ya Yamoto Band wakati huo akiwa chini ya nani?! Na huyo aliyemtoa ni nani linapokuja suala la Yamoto Band? Au unaweza kunitajia wimbo wake mmoja kabla ya Naenda Kusema?We jamaa unataka kulazimisha X iwe Y, Aslay alikuwa star kabla ya Yamoto Band hivyo vingine unaforce tukuelewe
Kweli kabisa maana Wcb wana ladha moja yaani ni vigumu kutofaitisha vionjo vyaodiamond anatakiwa apate wapinzani...
kina kiba nao wasajili wasaniii...
kila msanii mzuri akienda WCB itakuwa hakuna ladha..
wasanii wanaojiweza wanatakiwa wakomae kivyao ili mashabiki tupate ladha
Kama alivomfanya richKwani diamond mjinga akaribishe upinzani, kwanza watambana bana sana yani hutosikia tena akitoa ngoma kila siku
Eeh kuwekwa lebo na wasafi ni jau tu. Sawa na kuajiriwa uanze pangiwa la kufanya na Diamond alivyo mswahili lazma watazinguana tu maana dogo aslay kwa sasa anajua kutunga vitu vya maana zaidi yake ila laizer sijui kama atamuwezea kama huyo producer wake wa sasa muhudumu,likizo,tete,nyaku nyaku ni fire! Na ile mpya ya ndoa dah aslay ni nyokoKama alivomfanya rich
Huyu mtoto ni motoo na nahis mtoa mada atakuwa mond maana anajua akishaingia wcb tu ndo mwisho wake, angalia mboso toka aingie wcb hajatoa wimbo wowote wenzake aslay , beka wanapeta tuEeh kuwekwa lebo na wasafi ni jau tu. Sawa na kuajiriwa uanze pangiwa la kufanya na Diamond alivyo mswahili lazma watazinguana tu maana dogo aslay kwa sasa anajua kutunga vitu vya maana zaidi yake ila laizer sijui kama atamuwezea kama huyo producer wake wa sasa muhudumu,likizo,tete,nyaku nyaku ni fire! Na ile mpya ya ndoa dah aslay ni nyoko
Okay... baki na maswali yako na mimi nibaki na majibu yangu maana naona hata haujui wapi tunapopishana.Hakuna niliposema Naenda Kusema imetoka wakati yupo Yamoto Band bali nimesema aliitoa wakati yupo Mkubwa na Wanawe. Na hapo nimekuuliza; Mkubwa na Wanawe ni ya nani na Yamoto Band ni ya nani?
Hilo swali mbona jepesi sana lakini hutaki kujibu?!
Tunapopishana ni pale unaposema Yamoto Band ndiyo imemchelewesha bila kuzingatia ni mmiliki wa Yamoto Band ndie alimwibua Aslay wakati hafahamiki popote!!Okay... baki na maswali yako na mimi nibaki na majibu yangu maana naona hata haujui wapi tunapopishana.
Umewahi kumsikiliza Lavalava amekaa muda gani pale WCB?! Btw, huyo Mboso ametangazwa lini pale WCB? Na kwanini iwe Mboso na isiwe kwa Rayvann, Harmonize na Rich Mavoko?Huyu mtoto ni motoo na nahis mtoa mada atakuwa mond maana anajua akishaingia wcb tu ndo mwisho wake, angalia mboso toka aingie wcb hajatoa wimbo wowote wenzake aslay , beka wanapeta tu
Labels ni utumwa, ndio maana wajanja wanakataaga. Wachache wanahadaikaga na zile usd kadhaa wanazosainia ila baada ya hapo hufanyi kazi unaskilizia tuHuyu mtoto ni motoo na nahis mtoa mada atakuwa mond maana anajua akishaingia wcb tu ndo mwisho wake, angalia mboso toka aingie wcb hajatoa wimbo wowote wenzake aslay , beka wanapeta tu
Aslay hayupo kimataifa na sioni brand yake ikirumu mwaka humu nchini, nyimbo zake zinafanana!ni swala la mdaa tu kabla dogo ajampiku daimond, nadhani kilichokuwa kina mchelewesha dogo ni ile yamoto band .... daimond hana cha kumzidi aslay.
yuko na saidi felaAslay apige kivyake asiende WCB wala lebo ya Alikiba.
Aslay ni kipaji halisi atafute tu strong management.
Alikuwa nao unaitwa Uwe nami amemshirikisha temba! Bonge moja la song.....Jibu swali ndugu!! Alikuwa star kabla ya Yamoto Band wakati huo akiwa chini ya nani?! Na huyo aliyemtoa ni nani linapokuja suala la Yamoto Band? Au unaweza kunitajia wimbo wake mmoja kabla ya Naenda Kusema?
Mbona maswali mepesi sana lakini hutaki kujibu?!
No yuko na Chambusoyuko na saidi fela