Uchaguzi 2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

Uchaguzi 2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Unampa moyo mtu ambaye hana adabu hata kidogo.Tulidhani alivyozunguka Ulaya na Marekani alivuna ustaarabu lakini ukweli huyo Bwana alichovuna ni ushenzi wa kuongea ovyoovyo na matusi.
Vilevile sikutegemea mtanzania kama Lissu awe na imani dhalili kwamba bila Mzungu nchi yetu haiwezi kufanya kitu chochote.Naamiini huyu mtu ameathirika kisaikologia,ni mgonjwa.
 
Afutwe kwa kosa gani? lini hao tume waliwahi kumuandikia malalamiko yao halafu Lissu akashindwa kuwajibu?
Watafanya tu kwa kiburi. Kama walivyo waengua wabunge wa upinzani unlawfully
 
Mabeberu!!!!we unafikir watakuepo muda huoo???Ni Mimi,Dada ako,mama ako,wewe na wengine.
Hizi keyboard mnazokalia nyuma yake mnafikir muda huo mtaupata?Nataman hao matembo mnayoyanadi na kuyasema basi yaingize hicho wanachotaka ili tupate joto la machafuko mjue kutofautisha nyeupe na nyeusi.
Huna uwezo kama libya wala misri
 
Hakuna kiumbe ambacho kiliwahi kutumia njia ya kuwa kondoo kikasalimika mbele ya adui zake!
 
Mabeberu!!!!we unafikir watakuepo muda huoo???Ni Mimi,Dada ako,mama ako,wewe na wengine.
Hizi keyboard mnazokalia nyuma yake mnafikir muda huo mtaupata?Nataman hao matembo mnayoyanadi na kuyasema basi yaingize hicho wanachotaka ili tupate joto la machafuko mjue kutofautisha nyeupe na nyeusi.
Hizi keyboard zinasaidia sana kuokoa maisha ya Watanzania kuliko unavyodhania. Kufika mwaka 2017 Desemba Ben Saanane, Azory na wale wa Mkuranga na Rufiji walikuwa wanachinjwa kama kuku. Akina Tundu Lissu walikwisha jeruhiwa, akina Roma na MoDewji walikwisha tekwa.

Ni SISI tunaoitwa KEYBOARD worriors ndiyo tumekomaa tumepaza sauti mpaka wale wauaji chini ya Makonda na kikundi cha Wasiojulikana wakakoma au kupunguza vitendo vyao.
 
Mimi nashauri Mamlaka zinazohusika na mchakato wa Uchaguzi Mkuu, 2020 zitumie busara katika utekelezaji wa MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020(Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343)

Busara itaepusha mengi maovu ya wenye nia mbaya na Tanzania. Tanzania siyo kisiwa wala haina watu wenye umalaika. Yaliyotokea nchi zingine, wakati wa uchaguzi, yaweza kutokea pia hapa yakaathiri hata hatua kidogo ya maendeleo.

Rai nyingine ni kwa wagombea, ngazi zote, muda uliobaki wajikite katika kuwaeleza wapiga kura Tanzania ya kesho chini ya utawala wao. Waliyokwisha kusema kuhusu wagombea washindani yanatosha. Siyo tu watajijengea imani kwa wapiga kura, lakini wataepusha kubadilishana maneno yanayoweza kuchochea chuki baina ya wafuasi wao.

ENOUGH IS ENOUGH OF DEFAMATION
Dikteta uchwara magu amewasema wengine vibaya,kuonea watu,kupiga, kuteka na kutumbua wengine kwa hila kwa muda wa miaka mitano mfululizo,sasa acha na yeye asemwe.
 
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Ndani ya hizo siku saba chama kimsaidie kufanya kampeni za nguvu mikoani kote, ikiwa ni pamoja na kuitisha harambee za nguvu kwa ajili ya pigo moja lenye nguvu, PIGO LA KUANGUSHA LIMBUYU 2020!

MAANA: NI YEYE!
😅
👊 ✌✌✌💥
 
Busara gani itumike kama mtu ana kesi mahakamani na ameruhusiwa kugombea tena urais?

Busara gani kama baadhi ya wagombea wanakashfu wenzao lakini wameachwa huru na kuendelea na kampeni?

Busara gani kama baadhi ya wagombea wanaua lakini upande wa pili wamekaa kimya?

Tuache ujinga wa kutaka kuheshimiwa halafu kuheahimu wengine hutaki.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
umesahau upuuzi uliofanywa na magu kwa miaka mitano mfululizo?
 
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Mwenye Busara huona mabaya na kujificha, bali mpumbavu huenda mbele na kuumia. Ni maombi ya watanzania karibia wote, Amani, Amani, Amani. Adui wa Amani, iwe kwa maslahi yake binafsi, mabeberu wake, ni adui wa Taifa. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
 
Lissu mwepesi tu halafu muoga kama kunguru. Ndiyo mikutano yake yote anafanyia nyumbani kwake.
Hivi nyie wenzetu huwa mnakuwa binadamu mlio na akili timamu kabisaaaa au mkiwa ccm mnageuka kuwa robots hata robot huwa haziwi pumbavu kama nyinyi vijana wa polepole
Nahisi polepole amewaambukiza ujinga na upumbavu
 
Ndani ya hizo siku saba chama kimsaidie kufanya kampeni za nguvu mikoani kote, ikiwa ni pamoja na kuitisha harambee za nguvu kwa ajili ya pigo moja lenye nguvu, PIGO LA KUANGUSHA LIMBUYU 2020!

MAANA: NI YEYE!
😅
👊 ✌✌✌💥
Ha ha ha Harambee ya nguvu ya nini wakati mmepewa ruzuku?. Au mnataka mvune za lala salama nini?.
 
Hapo ndo patamu zaidi!! Hakuna mtanzania atakayekubali hilo. Na kabla ya uchaguzi tu Chadema watuhamasishe tuingie mtaani.
CCM HAKUNA KUCHEKA NAO. UKICHEKA NAO UNAVUNA MABUA KWELI.

MWAKA HUU LAZIMA KIELEWEKE
Unao ubavu huo mitaani au ni hapa JF tu??
 
Mwenye Busara huona mabaya na kujificha, bali mpumbavu huenda mbele na kuumia. Ni maombi ya watanzania karibia wote, Amani, Amani, Amani. Adui wa Amani, iwe kwa maslahi yake binafsi, mabeberu wake, ni adui wa Taifa. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
No excuse ,kama mgombea wenu engine imenock mnataka wote tukae kumsubiria?
 
Back
Top Bottom