Uchaguzi 2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

Uchaguzi 2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Mnataka kuleta zile habri za Tumuachie Mungu
 
Hamna chochote kitakachofanyika hamna serikali unaweza beba risk Kama hiyo kwa Hali ya kisiasa ilivyo Tanzania
 
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Hakuna injustice yoyote anayofanyiwa Lissu ni upumbavu wake tu anajijaza kiburi kulata sifa.

Vitabu vya dini vimeagiza kuziheshimu mamlaka. Ukitaka kujua hafai kuwa kiongozi ni kauli aliyosema akishindwa uchaguzi hatakubali, hii maana yake ni nini? anafahamu wangapi watampigia kura? Achana na akili uliyoenda shule, tumia ile kabla hujaenda shule wanaitaga aKili ya kuzaliwa utaona wazi Lissu amekuja kigomvi. Na sio bure wazungu wake wamemdanganya akianzisha vurugu watapaza sauti kuomba serikali ya makubaliano kwamba waziri mkuu au kiongozi mkubwa yeyote atoke upinzani. Tundu Lissu yupo tayari kuanzisha vita Tanzania na ikitokea yeye anaenda zake ubeligiji kujigijigi anawaacha mnapambana wenyewe na njaa zenu.
 
Hapana, asimame ili joto lipoe? No way, Uchaguzi hauwezi kuendeshwa kwa maelekezo ya Magufuli, No way
Nakubaliana na wewe! Pia ngamia ukimuachia aingize kichwa bandani mwako, atataka aingize na nundu yake!

Kwa kifupi watazoea...
 
Angalau wewe unanaoneka una mapenzi ya kweli, wengine wanamtumtumia tundu kama msukulule tu, lkn mwisho wa siku hawajali chochote kuhusu tundu, ...
Umesahau kwamba tulitaka kusoma dua mlipotaka kumuua mkakataz?
Umesahau tulichangia matibabu YAke pia?
Umesahau watu huko Kenya walichangia damu zao?
 
Mabeberu!!!!we unafikir watakuepo muda huoo???Ni Mimi,Dada ako,mama ako,wewe na wengine.
Hizi keyboard mnazokalia nyuma yake mnafikir muda huo mtaupata?Nataman hao matembo mnayoyanadi na kuyasema basi yaingize hicho wanachotaka ili tupate joto la machafuko mjue kutofautisha nyeupe na nyeusi.
Wewe utakuwa wa kwanza kukatwa masikio
 
Mimi nashauri Mamlaka zinazohusika na mchakato wa Uchaguzi Mkuu, 2020 zitumie busara katika utekelezaji wa MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI YA MWAKA 2020(Chini ya Kifungu cha 124.A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343)

Busara itaepusha mengi maovu ya wenye nia mbaya na Tanzania. Tanzania siyo kisiwa wala haina watu wenye umalaika. Yaliyotokea nchi zingine, wakati wa uchaguzi, yaweza kutokea pia hapa yakaathiri hata hatua kidogo ya maendeleo.

Rai nyingine ni kwa wagombea, ngazi zote, muda uliobaki wajikite katika kuwaeleza wapiga kura Tanzania ya kesho chini ya utawala wao. Waliyokwisha kusema kuhusu wagombea washindani yanatosha. Siyo tu watajijengea imani kwa wapiga kura, lakini wataepusha kubadilishana maneno yanayoweza kuchochea chuki baina ya wafuasi wao.

ENOUGH IS ENOUGH OF DEFAMATION
Kwa dhati kabisa leo nakupongeza kwa hii post🙏
 
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Napinga Ushauri wako ili kulinda Katiba ya nchi na kanuni za uchaguzi
 
Kutokana na onyo la NEC la kusimama siku saba, nashauri kamati kuu imshauri atii Kwa hili hata kama kaonewa. Waswahili husema Kula na kipofu usimshike mkono.

Ujeuri wake na ukurupukaji unaweza kumponza hata kile kidogo cha kupata wabunge wengi atakikosa. Sio kila Jambo ni nguvu. Ukiheshimiwa kidogo na wewe onesha heshima pia.

Kumbuka watanzania ni waoga usitegemee nguvu ya umma kukuingiza Ikulu. Wengi wanakushangilia lakini ukiwaambia wakusindikize mahali hawatoki. Pia kumbuka wengi wanaokusapport hawatapiga Kura Kwa sababu tofauti.

Tafakari ndugu wanakamati najua mnajua mengi.

Huu ni sauti ya Unabii.
 
Kutokana na onyo la NEC la kusimama siku saba, nashauri kamati kuu imshauri atii Kwa hili hata kama kaonewa. Waswahili husema Kula na kipofu usimshike mkono...
Hakuna ujinga yaani aonewe alafu akubali
 
Niliposema Lissu anadharau 'machinery' za nchi yetu hamkunielewa mwanzoni. Taratibu mtanielewa!
 
Nak
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu Bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama izo siku 7 kwani katika nafsi zao wanna hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.


Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Naungana na Wewe moja kwa moja ! Mimi ni CCM . Nimuombe Sana , Sana Mheshimiwa Tundu Lissu awe mvulivu kwa muda huo wa one Week . Kwanza atakuwa amepata muda wa kutosha wa kupumzika ! Kampeni ya kuzunguka nchi nzima sio Mchezo !! Ni kazi kweli , kweli ! Na ndiyo maana hata Rais Magufuli naye amejipa muda wa kupumzika ! Awe mvumilivu Tundu Lissu .
 
Mwenye Busara huona mabaya na kujificha, bali mpumbavu huenda mbele na kuumia. Ni maombi ya watanzania karibia wote, Amani, Amani, Amani. Adui wa Amani, iwe kwa maslahi yake binafsi, mabeberu wake, ni adui wa Taifa. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
Ccm kwa kijificha kwenye kivuli cha amani,wananchi sasa wanataka HAKI.
 
Bora afanye kampeni na wajaribu kumzuia ili dunia ione na ikusanye vizuri ushahidi juu ya hawa wauaji na watu wenye roho mbaya

Ingawa hili tu la kumzuia kufanya kampeni kwa siku 7 ni ushahidi tosha
Dunia itawafanyia nini? Kwa sasa kila mtu yupo kwenye ujisaidie mwenyewe mode........zaidi watatoa tu maneno yao yakupeana moyo ndo imekwisha hio
 
Back
Top Bottom