Namshauri Serikali iagize mchele nje mapema kabla mambo hayajaharibika

Namshauri Serikali iagize mchele nje mapema kabla mambo hayajaharibika

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Hali ya chakula ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje, chakula kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, Jakaya aliagiza mchele China na Japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! Bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakula !
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Serikali mpaka kuagiza chakula nje u angalia uhaba wake... Kwa Sasa hakuna uhaba wa Mchele ndani ya nchi... Bei ya vyakula vimepanda kwene soko la Dunia hakuna nchi ambayo haijakumbwa na price fluctuation kulingana na hali ya kiuchumi ya Dunia... Si Africa si Asia wala Ulaya kote bei za vyakula zipo juu
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Ni kweli mkuu nikuunge mkono Moja kwa Moja tatizo uongozi unaangalia Hali ya Leo na sio ya kesho ,bei ya chakula imekuwa tishio na serikali sidhani kama wamefanya namna yakuagiza stock maana wakulima wengi walikimbilia kuuza mazao kukabiliana na Hali ya maisha ,kwaiyo mkulima mwenyewe ndio wakwanza kuumia ,pia tumejiachia kulalamika mvua hamna wakati tumezungukwa na maziwa ,mito,na bahari na maeneo yakilimo ila hatuna hata mifereji yakudumu kwaajili ya kilimo Cha umwagiliaji ,kwa ufupi ni umaskini wa ajabu kulalamika njaa ,shida kubwa imekuwa elimu na uzembe ambao unatulazimu tuwe na wawekezaji kwenye sekta ambazo ni Bora tukasomeshe wanafunzi nje huko waje waanzishe kilimo chenye tija hapa bongo kuliko kutegemea wataalamu kutoka SUA ambao hawana maono zaidi yakukaa ofisini,huko wakishindwa kuandaa project muhimu za utatuzi wa kudumu
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Angekuwa ni Rais mwingine, angechukua huu ushauri wako mapema sana! Ila kwa huyu anaye mtegemea Madelu kumpa ushauri! Aisee sahau.
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Sidhani kama kuna kiongozi anaumizwa na shida zenu kama Watanzania
 
Angekuwa ni Rais mwingine, angechukua huu ushauri wako mapema sana! Ila kwa huyu anaye mtegemea Madelu kumpa ushauri! Aisee sahau.
Kenya na somalia zenye matatizo ya ukame na uhaba wa misosi ina mpango kazi wa kuzalisha zaidi

Sisi sababu watanzania ni wavivu basi wana taka mpango kazi wa kuagiza tule

Nchi ina raia hii aisee...
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Sasa wananchi wenyewe hatujielewi nani atakuwa na huruma na sisi?Nchi yoyote wananchi wanaojitambua huwa na viongozi wankuwa makini kiasi.
Angekuwa ni Rais mwingine, angechukua huu ushauri wako mapema sana! Ila kwa huyu anaye mtegemea Madelu kumpa ushauri! Aisee sahau.
Baada ya huu Uzi nimeangalia Bei za Mchele, Nchi nyingi ni ghali unafika zaidi ya dola 4, ambayo ni 10,000 huku kwetu, na bei rahisi kabisa ni kama 0.63 ambayo ni kama 1600 (hapo hujausafirisha na kuuleta + kodi na gharama nyengine)

Kifupi janga ka kupanda vitu bei ni dunia nzima, hakuna mahala utaenda useme kuna uafadhali waje watukomboe sisi.

Angalia bei mchele kenya kuanzia 3000
 
Serikali huwa haiagizi nje sukari wafanyabishara ndio wanaagiza, serikali inatoa vibali tu
Hata hivyo bei za vyakula zimepanda dunia nzima, na bei za Tz inaweza kuwa ndio nafuu zaidi
 
Ni kweli mkuu nikuunge mkono Moja kwa Moja tatizo uongozi unaangalia Hali ya Leo na sio ya kesho ,bei ya chakula imekuwa tishio na serikali sidhani kama wamefanya namna yakuagiza stock maana wakulima wengi walikimbilia kuuza mazao kukabiliana na Hali ya maisha ,kwaiyo mkulima mwenyewe ndio wakwanza kuumia ,pia tumejiachia kulalamika mvua hamna wakati tumezungukwa na maziwa ,mito,na bahari na maeneo yakilimo ila hatuna hata mifereji yakudumu kwaajili ya kilimo Cha umwagiliaji ,kwa ufupi ni umaskini wa ajabu kulalamika njaa ,shida kubwa imekuwa elimu na uzembe ambao unatulazimu tuwe na wawekezaji kwenye sekta ambazo ni Bora tukasomeshe wanafunzi nje huko waje waanzishe kilimo chenye tija hapa bongo kuliko kutegemea wataalamu kutoka SUA ambao hawana maono zaidi yakukaa ofisini,huko wakishindwa kuandaa project muhimu za utatuzi wa kudumu
Nyie watu sijui mna elimu gani.. hivi hamjui kuwa mchele wa Tanzania inauzwa nje kwa sababu wa Tanzania ndio bei rahisi kuliko huo wa nje? Unafikiri kungekuwa na mchele bora na rahisi nje ya nchi, unadhani kuna nchi ingekuja kununua mchele wa Tz?
Hata kama ungekuwepo sio kazi ya serikali kuagiza, wanaagiza wafanyabishara
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Waziri wake wa kilimo aliruhusu watu wauze mazao nje. Sasa wewe una sema rais anunue mapema? Hii ni akli au matope?
Nakumbuka nilipo kuwa kijana Rais wa wakati huo Mwalimu Nyerere aliwaachia watu waka uza vyakula nje. Njaa ilipo tokea aliwaambia, hata agiza chakula nje, bali watu wale pesa zao. Naona Huyu Msomali ndikoanako tupeleka. Kila mtu ale pesa alizo pata kwenye kuuza nje.
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Kipimo kipi kinachoonesha Hali ni mbaya?

Afu aliyekwambia chakula ni wali na ugali tuu nani?

Hii dhana nayo inatakiwa Serikali ianze kuelimisha watu dizaini ya mtoa mda..

Nchi hii ina vyakula vya kila dizaini kuanzia mihogo hadi uwele..By the way Mazao yaliyozalishwa msimu ulioisha yako mengi Sana kama Takwimu zinavyobainisha hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221102-131244.png
    Screenshot_20221102-131244.png
    158.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131224.png
    Screenshot_20221102-131224.png
    221 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131134.png
    Screenshot_20221102-131134.png
    179.7 KB · Views: 3
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Huwa nasikia kichefu chefu sana mtu akishindwa kutumia L na R.
 
We mwalimu kichwani zimo kweli? Chakura ndiyo nini?
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !e
 
hali ya chakura ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje,chakura kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, jakaya aliagiza mchele china na japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! bashe yuko bize na mbolea sijui hata kama amewahi kutembelea masoko ya chakura !
Unadhani hawajui? Wanajua sana ila kinachofanyika siku zote ni kudhibiti taarifa wananchi wasijue hali halisi na hatari inayokuja.

CCM imeacha kuongoza sasa INATAWALA hakika mnajua
 
the sunk, unazungumzia takwimu za kwenye makaratasi wakati hali halisi inaonekana kwa macho? wasomi ni wajinga sana,
 
the sunk, unazungumzia takwimu za kwenye makaratasi wakati hali halisi inaonekana kwa macho? wasomi ni wajinga sana,
Hata wewe mjinga maana unakera sana kutotumia vizuri R na L.
 
Back
Top Bottom