Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Chadema ni chama Cha Mbowe hili lipo wazi. Hizi kauli hapa chini ni ishara tosha kuwa kiti kinalindwa haswa!
Chadema ni cha Mbowe na Lissu, hivyo kama chama kikiyumba ni Lissu ndiye kayumbisha na siyo mtu mwingine, na mimi Yericko ndiye nimeshikilia mfumo wa kuendesha chama”
“Mbowe ni Alfa na Omega ndani ya CHADEMA, na tutakuwa nae hadi azeeke au mpaka CCM itoke Madarakani, na ili CCM iondoke madarakani inahitaji mtu tajiri (wealth man) hivyo hatuwezi kukubali kumpoteza Mbowe hata iweje
Ndo maana ninamshauri Lissu ahame chadema Ila tu Kama anavitu anavipata kwa sababu moja tu ya kuwa chadema aaendelee kuwepo.
Pole zake
Chadema ni cha Mbowe na Lissu, hivyo kama chama kikiyumba ni Lissu ndiye kayumbisha na siyo mtu mwingine, na mimi Yericko ndiye nimeshikilia mfumo wa kuendesha chama”
“Mbowe ni Alfa na Omega ndani ya CHADEMA, na tutakuwa nae hadi azeeke au mpaka CCM itoke Madarakani, na ili CCM iondoke madarakani inahitaji mtu tajiri (wealth man) hivyo hatuwezi kukubali kumpoteza Mbowe hata iweje
Ndo maana ninamshauri Lissu ahame chadema Ila tu Kama anavitu anavipata kwa sababu moja tu ya kuwa chadema aaendelee kuwepo.
Pole zake