Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Smart yupo dsm bibie nipo naye arusha jiji la baridi nampeti petiWhere is he?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smart yupo dsm bibie nipo naye arusha jiji la baridi nampeti petiWhere is he?
Unamisije mtu wakati mpo naye dailyUsijali mzeewakungoa aliekidhi Vigezo na masharti ni Smart911 pekeake
Wengine bado sanaaaaa khakhaakhaa Smart911 kiboko yaooooooooo
Smart911 sweetheart amich uuuuuuuuuuuuu
Mrejesho mzuri jamani. Sio huo wa mabayaHaaa we c ndo umesema unasubiri mrejesho
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]At work
He's bize kidogo unajua tangu alhamis hakuwa kazini mpaka leo jumanne
As a small boss Engineer mwenyewe program won't run bila yeye
Yeye ndo Engineer kazini so lazima ahakikishe sector zote program zinakwenda na watu wanachapa kazi khakha mengine
Wacha nifunge domo langu
OK vizuri bibie valentinaMrejesho mzuri jamani. Sio huo wa mabaya
We chororo toka asubuhi un mquote mwenzako na yupo kimyaaa. Afu yupo online.
Ndo yupo kwenye plan za kuja babuu bado anajiandaa vya kutosha siunajua Usawa wenyewe huu mara shuka la babu sijui kapu la bibi teh
Smart911 you are needed na babuu
Hongera sana kwa kupata mke humu.Kuna kipindi nilikuja hapa jukwaani kulalamika na kuomba wanajukwaa hili wanisaidie kumpata mwanamke niliyempenda sana na ni member anayejulikana kwa jina la rubii baada ya jitihada za kumbembeleza akashindwa kabisa kunikubali pengine baada ya kujua biashara yangu ( kuuza na kusambaza majeneza, sanda na vifaa vyote vya kuzikia).
Nilitumia kila njia kumbembeleza pamoja na kuahidi kumwoa na kumpa kila atakachotaka lakini ilishindikana. Kama ujuavyo kila jambo hupangwa na Mungu, kuna member waliokuja Pm ili kutaka japo kunifariji.
Mwisho wa yote kuna mdada mmoja akavutiwa na mimi na kuanza mawasiliano ambapo baadae tulikubaliana kuonana nikamtumia nauli akaja Dom tukafahamiana she is naturally beauty na amekubaliana na maisha yangu na tuko katika maandalizi ya kwenda kweo kutoa posa.
Nimeamini kwamba sio kila mwanamke aliye JF ni malaya au mchunaji kuna wanawake wako serious kuolewa. Ningemtaja lakini kulingana na umaarufu wake hapa jukwaani sintomtaja mapema mpaka tukishafunga ndoa. Ana elimu nzuri na ni mwajiriwa serikalini na ameikubali kazi yangu.
Nawashukuru mods na waanzilishi wa JF pamoja na wote mlioniombea mema.
Haaaaa kumbe wewe ndio upo hapo mitaa ya airport haya bwana....Kuna kipindi nilikuja hapa jukwaani kulalamika na kuomba wanajukwaa hili wanisaidie kumpata mwanamke niliyempenda sana na ni member anayejulikana kwa jina la rubii baada ya jitihada za kumbembeleza akashindwa kabisa kunikubali pengine baada ya kujua biashara yangu ( kuuza na kusambaza majeneza, sanda na vifaa vyote vya kuzikia).
Nilitumia kila njia kumbembeleza pamoja na kuahidi kumwoa na kumpa kila atakachotaka lakini ilishindikana. Kama ujuavyo kila jambo hupangwa na Mungu, kuna member waliokuja Pm ili kutaka japo kunifariji.
Mwisho wa yote kuna mdada mmoja akavutiwa na mimi na kuanza mawasiliano ambapo baadae tulikubaliana kuonana nikamtumia nauli akaja Dom tukafahamiana she is naturally beauty na amekubaliana na maisha yangu na tuko katika maandalizi ya kwenda kweo kutoa posa.
Nimeamini kwamba sio kila mwanamke aliye JF ni malaya au mchunaji kuna wanawake wako serious kuolewa. Ningemtaja lakini kulingana na umaarufu wake hapa jukwaani sintomtaja mapema mpaka tukishafunga ndoa. Ana elimu nzuri na ni mwajiriwa serikalini na ameikubali kazi yangu.
Nawashukuru mods na waanzilishi wa JF pamoja na wote mlioniombea mema.
Weeeeeeh thubutuuuuu
Huo muda anautoa wapi na Schedules zake zilivo tight!!
Yupo bize kuanzia asubuhi mpaka Jioni Akitoka hapo akili yote hoii kwa kazi anayofanya khakhaakhaa Smart911 the small boss hacheki na kimaa serious hata kazini wanamjua
Akitoka huyoo nyumbani hana vya kuzururazurura straight hom tunapumzika kidogo story mbiltatu haoo tunatoka pamoja.
Smart911 ni wa kipekee sana sijawahi ona I'm so lucky to have this man
Pia kuna special day Friday ni full rahaaa mnaanza na..... Then mnaenda kwenye vinywaji unakunywa chochote kile buree kabisa malipo hayakuhusu wewe ni kunywa tani yako ...
Hapa naomba Smart911 The small boss mwenyewe aje atoe mwongozo vizuri hapa nisiwe Msemaji sana
Mengine Wacha nifunge domo langu mie
Jifunze kuishi kwa imani kaka, mm mwnyew napitia mapito magumu ila najipa moyo ntashindaMkuu kama umepata shukuru mungu maana wengi nikiwatizama naona tutakuja kutiana degedege za ukubwani bure