Namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa kwenye simu limeenda salama

Namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa kwenye simu limeenda salama

jana nimeweka elfu 20 kwenye simu yangu nikataka kutuma kwa ndugu yangu..basi nikaambulia hivi;
nikatuma elfu 18...(nikakatwa 1160)
naye akaenda kuitoa akakatwa 2160
jumla makato 3320 nimelilia moyoni tu

akanipigia simu kunijuza nikamwambia bora usingesema maana nilivyoipata kwa shida unazidi kunihuzunisha moyo wangu bado nahitaji kuishi..msiniambie maumivu bora mkaushie tu. Serikali inatujaza hasira, inatutia huzuni, inatuongezea msongo wa mawazo, inatusukumiza kwenye kifo bila hata sababu.
 
jana nimeweka elfu 20 kwenye simu yangu nikataka kutuma kwa ndugu yangu..basi nikaambulia hivi;
nikatuma elfu 18...(nikakatwa 1160)
naye akaenda kuitoa akakatwa 2160
jumla makato 3320 nimelilia moyoni tu

akanipigia simu kunijuza nikamwambia bora usingesema maana nilivyoipata kwa shida unazidi kunihuzunisha moyo wangu bado nahitaji kuishi..msiniambie maumivu bora mkaushie tu. Serikali inatujaza hasira, inatutia huzuni, inatuongezea msongo wa mawazo, inatusukumiza kwenye kifo bila hata sababu.
Acha tu kuna jamaa angu alikua na 20000 mpesa bmkubwa wake gesi imekata kamwambia kijana ake kila akiangalia jinsi ya kutuma 19000 makato sijui ni 970 kama sikosei sasa bado bimkubwa kwenda kutoa haitoshi hata kujaza kale kamtungi kadogo .maumivu mno
 
Hatimae leo nimefanikiwa kutoa pesa iliyokuwa kwenye simu yangu kwa Uchungu mkubwa.

Kabla ya makato ya serikali nilikuwa na mazoea ya kuweka pesa yangu ya akiba kidogo kwenye simu na nyingine cash kwenye kibubu,
siku moja kabla ya ongezeko nilitumiwa meseji kuhusu makato nilijua yatakuwa madogo sana kwa sababu ni ya, serikali hivyo niliamua kuacha pesa kwa simu bila hofu.

Nilikuja kushituka usiku nilipokuja kuona mkeka wa makato unavyosoma na ndio zoezi limeanza nilishindwa kuwaza nifanye nini zaidi ya kuamua kuiacha

Ni pesa Ndogo lakini kwangu ni kubwa ilikuwa tu 150k (laki na nusu)

Imekaa humo mpaka leo nilipoamua tu ngoja nikatoe niitiage kwenye kibubu ichanganyikane na wenzake

Siwafichi haya makato yanauma sana, ni kama kisu basi yanakata mpaka kwenye mfupa

150k hapo nimekatwa 6k (elfu sita), fikiria ni laki na nusu tu lakini makato elfu 6

Sahani 3 za kiepe yai, au sahani 4 nne za kiepe kavu

Elfu 6 hiyo, papuchi mbili pale kwenye vyumba vya hapo Buguruni, au mbili za chap chap hapo Chako ni Chako Dodoma,

Wakati wa makato nimeweweseka kwa kweli mpaka mikono ikawa inatetemeka

Na kukumbuka juzi nimeshindwa kuitafuna papuchi ya jirani yangu kisa tu aliniomba elfu 5 na kutaka kunitunuku nikasema sina, ila leo nimekatwa 6k na serikari bila kunifanyia kazi yeyote, sawa kikubwa namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa limeenda salama na hivi sasa naendelea vizuri.

Mimi kuja kuweka tena pesa kwenye simu mimi!


Cc Zero IQ
Binafsi ningeiacha humo kufanyia applications za vyuo kwa ndugu na jamaa, kununua LUKU na kulipia king'amuzi mpaka ingeishia kwenye simu
 
"Elfu 6 hiyo, papuchi mbili pale kwenye vyumba vya hapo Buguruni, au mbili za chap chap hapo Chako ni Chako Dodoma"

UZI HUKAMILIKA BILA HAYA MAKADIRIO
 
8GU65NKLEFI Imethibitishwa tarehe 30/7/21 saa 10:58 AM Pokea kiasi cha Tsh159,000.00 kutoka kwa 757557 - NOBERT JUMA KIFEFE Jumla ya Ada Tsh6,180.00 (M-Pesa Ada Tsh3,650.00 + TOZO ya Serikali Tsh2,530.00). Salio ni Tsh0.00.

Ni hatari na nusu.....Yani nimetoa hela hadi maumivu....
na hapa umetoa kwa kutumia songesha

yani maumivu plus huku tozo huku riba ya songesha

ila tutafika tu tumeambiwa nchi y ahadi ipo karibuni
 
Hiyo jero iliyobaki humo unga kifurushi kabla serikali haijakubadilishia mafaili [emoji28][emoji28]
Umelipa Tsh500.00 kwenda YATOSHA, (). Makato Tsh 0.00( Ada Tsh 0.00 + Kodi Tsh 0.00). Salio Tsh4.00. Muamala No: MP210730.1935.D14020

Tayari mkuu
 
Hatimae leo nimefanikiwa kutoa pesa iliyokuwa kwenye simu yangu kwa Uchungu mkubwa.

Kabla ya makato ya serikali nilikuwa na mazoea ya kuweka pesa yangu ya akiba kidogo kwenye simu na nyingine cash kwenye kibubu,
siku moja kabla ya ongezeko nilitumiwa meseji kuhusu makato nilijua yatakuwa madogo sana kwa sababu ni ya, serikali hivyo niliamua kuacha pesa kwa simu bila hofu.

Nilikuja kushituka usiku nilipokuja kuona mkeka wa makato unavyosoma na ndio zoezi limeanza nilishindwa kuwaza nifanye nini zaidi ya kuamua kuiacha

Ni pesa Ndogo lakini kwangu ni kubwa ilikuwa tu 150k (laki na nusu)

Imekaa humo mpaka leo nilipoamua tu ngoja nikatoe niitiage kwenye kibubu ichanganyikane na wenzake

Siwafichi haya makato yanauma sana, ni kama kisu basi yanakata mpaka kwenye mfupa

150k hapo nimekatwa 6k (elfu sita), fikiria ni laki na nusu tu lakini makato elfu 6

Sahani 3 za kiepe yai, au sahani 4 nne za kiepe kavu

Elfu 6 hiyo, papuchi mbili pale kwenye vyumba vya hapo Buguruni, au mbili za chap chap hapo Chako ni Chako Dodoma,

Wakati wa makato nimeweweseka kwa kweli mpaka mikono ikawa inatetemeka

Na kukumbuka juzi nimeshindwa kuitafuna papuchi ya jirani yangu kisa tu aliniomba elfu 5 na kutaka kunitunuku nikasema sina, ila leo nimekatwa 6k na serikari bila kunifanyia kazi yeyote, sawa kikubwa namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa limeenda salama na hivi sasa naendelea vizuri.

Mimi kuja kuweka tena pesa kwenye simu mimi!


Cc Zero IQ
Umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka enzi zile nguvu za kiume zilikua sio issue Kama ilivyo Sasa. Kuna jamaa yangu jina kapuni mwenyeji wa mkoa mmoja uliokua unamezewa mate na nduli. Huyu jamaa yangu alikua akipata changu mmoja hapo ulipoasema Buguruni Kisha anakwenda Sewa kuongeza steam na safari beer ( enzi zile hakuna vumbi Wala Viagra, nusu konyagi au safari mbili ndio ilikua viagra) Kisha anakwenda kupata changu mwingine kwa buku mbili kabla ya kupanga Basi na kurudi Gongolamboto.
Kumbe na wewe Zero IQ unapajua.
 
😂😂😂😂😂😂😂, pole mkuu, kunywa maji kwa wingi, mwili utakaa sawa tu. Ila daah, kuna watu mnavipaji vya kuchekesha watu aiseee, daaah, this is very creative writting! 🤩🤩🤩🤩
 
Umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka enzi zile nguvu za kiume zilikua sio issue Kama ilivyo Sasa. Kuna jamaa yangu jina kapuni mwenyeji wa mkoa mmoja uliokua unamezewa mate na nduli. Huyu jamaa yangu alikua akipata changu mmoja hapo ulipoasema Buguruni Kisha anakwenda Sewa kuongeza steam na safari beer ( enzi zile hakuna vumbi Wala Viagra, nusu konyagi au safari mbili ndio ilikua viagra) Kisha anakwenda kupata changu mwingine kwa buku mbili kabla ya kupanga Basi na kurudi Gongolamboto.
Kumbe na wewe Zero IQ unapajua.
Napajua mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], pole mkuu, kunywa maji kwa wingi, mwili utakaa sawa tu. Ila daah, kuna watu mnavipaji vya kuchekesha watu aiseee, daaah, this is very creative writting! [emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Asante mkuu
 
Umetoa 500,000.00 Tsh. Kwa wakala: ***** *******.Makato Tsh 12,200.00( Ada Tsh 7,000.00 + Kodi Tsh 5,200.00).Salio Jipya Tsh ******. Muamala No: CO210730.1759.D******

Hii ni leo jioni hii, Ni hatari !!!!!!, wacha wakasome Feza tu, haina namna, na bado wanaenda kununulia chanjo, 😂😂😂
 
Back
Top Bottom