Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madaraja yenyewe ndo kama lile la mngeta sio 😄😄😄Bora papuchi mkuu kuliko hayo makato yanayoenda kulipa ada ya mtoto wa mwigulu pale Feza school,
Yangekuwa yanajenga madaraja, shule, mikopo kwa vijana, kusaidia familia za wasiojiweza,Na N.K ningesema sawa.
😂😂😂😂, buku 6 ina nguvu nyie 🤣🤣🤣🤣, huu uzi unanifanya niwe mwehu 🤣🤣🤣🤣Huu ni mfano mkuu wa nguvu ya buku 6
Hapo sawaUmelipa Tsh500.00 kwenda YATOSHA, (). Makato Tsh 0.00( Ada Tsh 0.00 + Kodi Tsh 0.00). Salio Tsh4.00. Muamala No: MP210730.1935.D14020
Tayari mkuu
Shule zimefungwa nadhaniUnaongea kama vile papuchi za wauza nyuchi ni kitu kizuri na cha thamani kuliko mapato ya serikali... Jina lako nani tena.... Ohh nimekusamehe kumbe huna akili 🤣🤣
Mungu awalaani hawa madhalimu wameamua kutupora hata kiduchu nimetoa 230000 wamechukua elf 8700 yote bila hata chenji.Yaani nusu nusu nikajinyonge
Nauli ya MorogoroWe buku 6 unaichukuliaje mkuu
NdoNaamini hivyo pia mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bank naogopa milango ya vioo na wale walinzi wenye mitutu ya bunduki,
Wengine sura zetu personal zinafanana kiwizi wizi na kiujambazi jambazi
Nimetoa laki moja tu, na nimekatwa hivyohivyo elfu sita kama wewe, kumbe kheri ya wewe umehurumiwa!! Hata hivyo inahuzunisha sana vile wanavyoorodhesha jinsi walivyozinyofoa...Hatimae leo nimefanikiwa kutoa pesa iliyokuwa kwenye simu yangu kwa Uchungu mkubwa.
Kabla ya makato ya serikali nilikuwa na mazoea ya kuweka pesa yangu ya akiba kidogo kwenye simu na nyingine cash kwenye kibubu,
siku moja kabla ya ongezeko nilitumiwa meseji kuhusu makato nilijua yatakuwa madogo sana kwa sababu ni ya, serikali hivyo niliamua kuacha pesa kwa simu bila hofu.
Nilikuja kushituka usiku nilipokuja kuona mkeka wa makato unavyosoma na ndio zoezi limeanza nilishindwa kuwaza nifanye nini zaidi ya kuamua kuiacha
Ni pesa Ndogo lakini kwangu ni kubwa ilikuwa tu 150k (laki na nusu)
Imekaa humo mpaka leo nilipoamua tu ngoja nikatoe niitiage kwenye kibubu ichanganyikane na wenzake
Siwafichi haya makato yanauma sana, ni kama kisu basi yanakata mpaka kwenye mfupa
150k hapo nimekatwa 6k (elfu sita), fikiria ni laki na nusu tu lakini makato elfu 6
Sahani 3 za kiepe yai, au sahani 4 nne za kiepe kavu
Elfu 6 hiyo, papuchi mbili pale kwenye vyumba vya hapo Buguruni, au mbili za chap chap hapo Chako ni Chako Dodoma,
Wakati wa makato nimeweweseka kwa kweli mpaka mikono ikawa inatetemeka
Na kukumbuka juzi nimeshindwa kuitafuna papuchi ya jirani yangu kisa tu aliniomba elfu 5 na kutaka kunitunuku nikasema sina, ila leo nimekatwa 6k na serikari bila kunifanyia kazi yeyote, sawa kikubwa namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa limeenda salama na hivi sasa naendelea vizuri.
Mimi kuja kuweka tena pesa kwenye simu mimi!
Cc Zero IQ
Yaani umebakiwa na 504 kwenye Account???Umetoa 144,000.00 Tsh. Kwa wakala: JULIAS MASAWE.Makato Tsh 6,130.00( Ada Tsh 3,600.00 + Kodi Tsh 2,530.00).Salio Jipya Tsh 504.00. Muamala No: CO210730.1304.E58770
Wacha kabisa mkuu
Ila tuache utani Mwigulu ana ROHO MBAYA SANAjana nimeweka elfu 20 kwenye simu yangu nikataka kutuma kwa ndugu yangu..basi nikaambulia hivi;
nikatuma elfu 18...(nikakatwa 1160)
naye akaenda kuitoa akakatwa 2160
jumla makato 3320 nimelilia moyoni tu
akanipigia simu kunijuza nikamwambia bora usingesema maana nilivyoipata kwa shida unazidi kunihuzunisha moyo wangu bado nahitaji kuishi..msiniambie maumivu bora mkaushie tu. Serikali inatujaza hasira, inatutia huzuni, inatuongezea msongo wa mawazo, inatusukumiza kwenye kifo bila hata sababu.