Namshukuru Mungu zoezi langu la kutoa pesa kwenye simu limeenda salama

Umetoa 500,000.00 Tsh. Kwa wakala: ***** *******.Makato Tsh 12,200.00( Ada Tsh 7,000.00 + Kodi Tsh 5,200.00).Salio Jipya Tsh 172,968.00. Muamala No: CO210730.1759.D******

Ni hatari !!!!!!
Mkuu bado una kipengere cha kukatwa 6100
 
Yaani nusu nusu nikajinyonge
Mungu awalaani hawa madhalimu wameamua kutupora hata kiduchu nimetoa 230000 wamechukua elf 8700 yote bila hata chenji.
Pesa usaka kwa tabu wao wanaenda kununua v8.
 
Ndo
Kusema k
Zimeshuka
Thamani
Hadi
Ziwe bei
Ya nyanya
K hazijawahi kupanda bei mkuu ni wewe jinsi unavyobargain na mmiliki wa K,

Ukimset fresh unapiga ata bure
 
Nimetoa laki moja tu, na nimekatwa hivyohivyo elfu sita kama wewe, kumbe kheri ya wewe umehurumiwa!! Hata hivyo inahuzunisha sana vile wanavyoorodhesha jinsi walivyozinyofoa...
 
Hivi Bi. Mkubwa hayumo humu tum-tag aone masikitiko ya mwanae?🤣
 
Umetoa 144,000.00 Tsh. Kwa wakala: JULIAS MASAWE.Makato Tsh 6,130.00( Ada Tsh 3,600.00 + Kodi Tsh 2,530.00).Salio Jipya Tsh 504.00. Muamala No: CO210730.1304.E58770


Wacha kabisa mkuu
Yaani umebakiwa na 504 kwenye Account???
 
Ila tuache utani Mwigulu ana ROHO MBAYA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…