Pre GE2025 Namshukuru Rais Samia napata mshahara ninaostahili kama Bingwa katika fani yangu

Pre GE2025 Namshukuru Rais Samia napata mshahara ninaostahili kama Bingwa katika fani yangu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mii hii mara ya pili mkuu..
Mara ya kwanza nilikanyaga lava....
Ilikua jeshini...

Unaambiwa ile mpaka daktari alijua sitoboi
Mm niliwahi, nlivyoona dalili ht sikumaliza wiki nkatafuta tiba mana naskia ukichelewa inaweza kupita na kizazi hasa kwa wanaume
 
Mm niliwahi, nlivyoona dalili ht sikumaliza wiki nkatafuta tiba mana naskia ukichelewa inaweza kupita na kizazi hasa kwa wanaume
Inapangusa kabisa an...
Sema sasa hivi nimekua mjanja mjanja mkuu naenda kwa taadhari zote an
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Kwenye hili tutamkumbuka sana japo sina Imani na atakaepitishwa na chama kama atajali maslahi yetu!!

Simuoni akitoboa ,mitego ni mingi sana!!

Hii teua tengua inayoendelea inaonyesha mambo sio shwari
 
Inapangusa kabisa an...
Sema sasa hivi nimekua mjanja mjanja mkuu naenda kwa taadhari zote an
😂 Mm nilisema sitak kupiga kavu tena ila baada ya mwezi nkarud kupiga kavu mana mzigo ulikuja kwenye hali ambayo Siwez kwenda kufuata kinga kwa muda huo 😂
 
😂 Mm nilisema sitak kupiga kavu tena ila baada ya mwezi nkarud kupiga kavu mana mzigo ulikuja kwenye hali ambayo Siwez kwenda kufuata kinga kwa muda huo 😂
Wee jamaa sio kosa lako..
Nasemaga we jamaa mshipa wa kujiheshimu huna

Ndio maana kuna mtu anakuitaga mbogamboga humu... Ahahahaha
 
Doctor bingwa ni wewe mwenyewe, au kuna mtu unamsemea?. Kama wewe ndio doctor bingwa. Basi ule msemo wa wanaachwa wenye sifa,ili wasiweze kufikia ngazi za juu. Wafikie wasio,ili viti vyao vibaki salama
 
Wee jamaa sio kosa lako..
Nasemaga we jamaa mshipa wa kujiheshimu huna

Ndio maana kuna mtu anakuitaga mbogamboga humu... Ahahahaha
Huyo anayeniita mbogamboga atakuwa ana hamu ya kuliwa.
Mm sio mshipa wa kujiheshimu tuu, mm nna hadi mfupa wa kujiheshimu.
 
Huyo anayeniita mbogamboga atakuwa ana hamu ya kuliwa.
Mm sio mshipa wa kujiheshimu tuu, mm nna hadi mfupa wa kujiheshimu.
Ahahahaa hamna kitu kama hiko mkuu..
Naonaga comment zako..
Zimejaa ukorofi ukorofi... Refer kwa ule uzi wa azam...
Ukataka kunidharilisha nje nje ahahahha
 
Back
Top Bottom