Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

klorokwini loya my loya nilianza kuugua hapa. nilikua kila nikikutwangia cm iko busy

kwa hasira nikazima! najuta sasa. come this way hubby naomba u preeze kwangu. mwaaaaah.


hehehe tena leo hauwez kuamini nimekula maparachichi sita na tikiti maji nusu. Jiandae mama
 
..kuna mwanadada kanikataa kisa navutia sana
..nina akili, ukoo unanitegemea kwa ushauri, cdm ndo usiseme. CCm sitaki kuwashauri sababu hawanilipi.
...sichoki haraka kwenye nanii.
.........؛


Sipendi wanaume wazuri hata chembe, wewe mzuri? sitaki kugombaniana kioo..

Ila hako ka mstari ka mwisho kamenivutia kama ndio ulikua na maana ninayofikiria. teh teh
 
Erotica usikate tamaa we endelea tu kuomba, na kuwazia vile kuna wakati wanapita wale malaika wema wanakusikia unacho kisema na wanamfikishia mungu, na mungu anakupa unacho kitaka 😛oa
 
hehehe tena leo hauwez kuamini nimekula maparachichi sita na tikiti maji nusu. Jiandae mama


Kwahio leo niandae tu chakula cha mtoto mkubwa, cha tumbo hapana?

bora tuwekane sawa kuepusha lawama my loya.
 
Kwahio leo niandae tu chakula cha mtoto mkubwa, cha tumbo hapana?

bora tuwekane sawa kuepusha lawama my loya.
Wewe si ulisema ukiniona tu unashiba?
Leo nakuja na pozi la suti ili uvimbiwe.
hehehe natania tu, nitakuja na mahindi ya kuchoma tulishane honey
 
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.

Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.

Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.

Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo…

Awe mzuri kama kirusha roho changu Ndahani, Charming na lovable kama klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu Asprin, awe na bahati na pesa kama Bishanga, awe na akili kama Mzee Mwanakijiji, Msiri kama The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama Kaunga, Mkali kama Invisible, Caring kama Rejao, Mjanja kama Boflo, magnetically Irresistible kama Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama fazaa, wa ukweli kama EMT, hasomeki hadi aamue kama Kongosho, creative kama TANMO, macho mazuri kama Erickb52, mpole kama BAK na mwenye busara kama babu Dark City. Awe na bahati kama Mwali.

Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.


Mwaaaaaaah. :baby:

How do I do it Erotica? Hatujawahi hata siku moja kuonana uso kwa uso...unapenda kupitia maandishi?
 
Wewe si ulisema ukiniona tu unashiba?
Leo nakuja na pozi la suti ili uvimbiwe.
hehehe natania tu, nitakuja na mahindi ya kuchoma tulishane honey


teh teh teh. nakusubiri kwa mshkeli mkali my sweetpie, mie naandaa zangu maji na mbege

iliobaki jana kushushia mahindi tukilishana, tunyweshane kisha tushibishane.

leo mama tunamwachia muvi mpya ya Kanumba aangalie mwenyewe.
 
How do I do it Erotica? Hatujawahi hata siku moja kuonana uso kwa uso...unapenda kupitia maandishi?


my kirusha roho like you are doing it sasa. my heti goz boom boom boom.

ingekua sio my hunny bunny klorokwini ningekua nime rest in peace siku nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh!

Erotica bahati mbaya itabidi usubiri sana...mchumba/baba watoto kama huyu bado hajazaliwa nasikia atazaliwa mwaka 2080...kwani yule aliyeumia nanihii 🙂 ni aje? Hutaki awe Baba watoto wako?

Huyo lazima awe mwanaume wa kumtengeneza kwa picha maana combination ya characters zote hizo hakuna aliyenazo kwenye ulimwengu huu
 
teh teh teh. nakusubiri kwa mshkeli mkali my sweetpie, mie naandaa zangu maji na mbege

iliobaki jana kushushia mahindi tukilishana, tunyweshane kisha tushibishane.

leo mama tunamwachia muvi mpya ya Kanumba aangalie mwenyewe.

Maza leo inabidi nimzuge zuge aondoke, leo nakuja kivita bana, parachichi sita na tikiti maji nusu. Think! Erotica think!
 
Last edited by a moderator:
Paxman you cute and sweet man wea have you been?

wewe nilisha kuorodhesha no worry, U think i have to think twice? once is enough. mwaaaaaah. Umeniletea zawadi?
orchid-pic_jpg.jpg

Love, beauty, luxury, strength to our way through .....!

lily.jpg

I am devoted to you and I like the way you write to me this whispers your voice in my ears....
I am ready to ..... and will never regret.... God has blessed me oooh shit lemme tell that He has blessed us I knw ur sooo sweet! I'll never let you go even after getting our twins... lol... 🙂
 
Not so fast, young Lady. Lazima uoneshe kwanza kama unastahili kubeba mbegu zangu. So what do I want?

Umegundua eeeh...kugawa mbegu bwana ni kwa step...ukigawa gawa hovyo inaweza kula kwako
 
Maza leo inabidi nimzuge zuge aondoke, leo nakuja kivita bana, parachichi sita na tikiti maji nusu. Think! Erotica think!


I am thinking baby I am. Baby do u see hawa wapita njia? u don't have to

worry our open marriage allows it. as long as it u are not drawn to Kaunga eeh?

Leo i have some thing is stoo for you. it is going to blow you to heaven.
 
Last edited by a moderator:
orchid-pic_jpg.jpg

Love, beauty, luxury, strength to our way through .....!

lily.jpg

I am devoted to you and I like the way you write to me this whispers your voice in my ears....
I am ready to ..... and will never regret.... God has blessed me oooh shit lemme tell that He has blessed us I knw ur sooo sweet! I'll never let you go even after getting our twins... lol... 🙂



aaawwww Paxman you cute and sweet man,

I think am going to cry from happiness. :flypig:
 
Last edited by a moderator:
Kujiuza kaazi kweli kweli na jukwaa lenu hili. Hapo kwa akili yako lazima mmoja wapo atakushobokea akutongoze. Anyway, hata ukizaa na nani, sura lako baya halitampa nafasi huyo mtoto kuwa mzuri kama hao uliowaona park.

Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
I am thinking baby I am. Baby do u see hawa wapita njia? u don't have to

worry our open marriage allows it. as long as it u are not drawn to Kaunga eeh?

Leo i have some thing is stoo for you. it is going to blow you to heaven.
Open marriage ndio mpango mzima bana, heheeh kulaleki! hako kamstari ka mwisho ulikokamalizia kwa ung'eng'e sweetlady akiona lazima atakonda tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom