Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Sipati picha mume wake yumo humu anaunganisha dots kuanzia kwaresma jtano, wife kuchelewa hadi saa nne usiku, kanywa wine + kvant....n.k

[emoji16][emoji16][emoji16]Andaa Vaseline

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ambao wanawakandia waume zao huwa siwaelewi kabisa hivi ni lazima umkandie mume wako sababu umepata mwanaume mwingine tena wa mdamfupi tu?
Hata wanaume mpenzi wapo, utajikuta wanaropokaaa kama wajinga fulani hivi
 
Si Bora huyu kawekewa k vant, kuna wanaowekewa Valium...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FAT POINT[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ambao wanawakandia waume zao huwa siwaelewi kabisa hivi ni lazima umkandie mume wako sababu umepata mwanaume mwingine tena wa mdamfupi tu?
Ukimwona mwanamke. Anazungumza madhaifu ya mume wake publicly au hata kwa mtu mwingine basi huyo mwanamke hajui wajibu wake kama mke na hajui nafasi yake katika kumsaidia mumewe pale anapoona weakness

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini hii story..
Kama ingekua ni kweli, usingeeleza ujinga wake na udhaifu aliouonyesha katika kumnasa hapa jamvini,... Kwn hata yeye akiisoma hii post atagundua wewe hufai tena kwa kwa namna ulivyojinasibu na kumdharau yeye na mumewe... Labda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli aisee hivi huwa ni nini unamuacha mumeo uchi kabisa hata kama ana mapungufu yake ebu jaribu kuyaficha ongeeni tu mambo yenu yaliyowakutanisha

Kukutana tu siku moja kila kitu umeshamwambia huyo mwanaume
Bad enough unakutana na mtu siku hiyohiyo unampa k...what a shame...halafu mke wa mtu na umetoka kanisani

Wanawake tujitambue loh huyu katutia aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bad enough unakutana na mtu siku hiyohiyo unampa k...what a shame...halafu mke wa mtu na umetoka kanisani

Wanawake tujitambue loh huyu katutia aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sio story aisee hizi Ndoa Mungu akaonekanee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sipati picha kama jamaa liechapiwa nae yupo humuuuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu mnawaza nje ya box[emoji134][emoji134][emoji848][emoji848]

Watu tumekazana kuchangia chai

Hii Gahawa kweli[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli aisee hivi huwa ni nini unamuacha mumeo uchi kabisa hata kama ana mapungufu yake ebu jaribu kuyaficha ongeeni tu mambo yenu yaliyowakutanisha

Kukutana tu siku moja kila kitu umeshamwambia huyo mwanaume
Mhhhh ndiyo maana kila siku mada za kutuponda wanawake humu haziishi.. Kwa sababu ya upumbavu wa wanawake wachache loop..!! Acha watupondage tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sisi kama CHAMA CHA MABAHARIA TANZANIA "CHAMATA" Tunakupongeza kwa jinsi ulivyomteka huyo kondoo,mixer na mifano ya bible juu! safi sana, mtafute utampata tuu,Mademu wa kibongo walaini sana hata kama wana ndoa wanapigika tu


d dWrite your reply...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…