ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Babako na mamako hawakuwa na ndoa ww. Umezaliwa magetoni!!??Utaskia aliolewa
#KATAANDOA
#NDOAINARUDISHANYUMAMAENDELEOYAMWANAMKE
ww ni msela wa kitaa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babako na mamako hawakuwa na ndoa ww. Umezaliwa magetoni!!??Utaskia aliolewa
#KATAANDOA
#NDOAINARUDISHANYUMAMAENDELEOYAMWANAMKE
Wameingiaje hapa wazazi mkuu?Babako na mamako hawakuwa na ndoa ww. Umezaliwa magetoni!!??
ww ni msela wa kitaa!!
Ww ni wakala wa kataa ndoa. Ndoa ni kurudisha maendeleo nyuma ni maneno yako hayoWameingiaje hapa wazazi mkuu?
Sasa mzazi kaingiaje mkuuWw ni wakala wa kataa ndoa. Ndoa ni kurudisha maendeleo ni maneno yako hayo
Alikua na kipindi flani saa tano asubuhi jingle yake ilikua ngoma flan hivi kama sio ya beyonce ilikua ya rihana ,jingle ikiisha ndio unaisikia sasa sauti mubashara ya mtoto wa mama sabuni.Huyu dem bwana ana sauti moja amaizing sana... Yaan enzi zile miaka ya mwisho ya 2000 alasiri mtu lazima uwe karibu na redio showtime j3 hadi ijumaa.
Endelea kuzalia nyumbaniUtaskia aliolewa
#KATAANDOA
#NDOAINARUDISHANYUMAMAENDELEOYAMWANAMKE
Ni Roy Mlaliki Maganga sio BarickNi Roy Barick Maganga.
Siku hizi usikilizaji umebadilika sana, tukisema kwa ujumla, Yes Clouds bado anakimbiza kutokana na maeneo ambayo Clouds anasikika, ni almost nchi nzima na Wasafi hajafikaUmekosea radio bora kwa sasa ni clouds fm and no more ubishi uishe ila kipindi kile kulikua na radio pacha kiss fm ilikua laana nanusu JK(John Kalani).Hassan Wibonela (D7) Marehem Mabovu hakika mziki ulikua laana nanusu ule yai lilitoka mule lilikua likinikosha sana
Rihanna ~ Music of the sunAlikua na kipindi flani saa tano asubuhi jingle yake ilikua ngoma flan hivi kama sio ya beyonce ilikua ya rihana ,jingle ikiisha ndio unaisikia sasa sauti mubashara ya mtoto wa mama sabuni.
Bila kumsahau Stela stumbi,RFA 2000's way baki ilikuwa haishikikiBeatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.
Alikuwepo mtata wa makabila sijui ndio nani kati yao hapo juu,daah kitambo sana mkuuBeatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.
Ana kisauti fulani cha mafua hivi,daah nilikuwa sibanduki kwenye kiredio mkulima cha mzee kilichokuwa kinaishilia ubora wake kwa kukosa mfuniko wa nyuma.Huyu dem bwana ana sauti moja amaizing sana... Yaan enzi zile miaka ya mwisho ya 2000 alasiri mtu lazima uwe karibu na redio showtime j3 hadi ijumaa.
Hahaha... Enzi hzo za Masafa ya Kati na FM. Showtime Jumatatu, Jumatano na Ijumaa.. Ijumaa ni Top ten. Pia kulikuwa na Vipengele kama Fagilia au Siriba. Yaan wana wanapiga sim au kutuma Text Kumponda hasa Msanii au kumsifia. Na kuna wakat mwingine walikuwa wanasiribwa watangazajiAna kisauti fulani cha mafua hivi,daah nilikuwa sibanduki kwenye kiredio mkulima cha mzee kilichokuwa kinaishilia ubora wake kwa kukosa mfuniko wa nyuma.
Beat ilikuwa ya Rihana...." Music of the sun"Alikua na kipindi flani saa tano asubuhi jingle yake ilikua ngoma flan hivi kama sio ya beyonce ilikua ya rihana ,jingle ikiisha ndio unaisikia sasa sauti mubashara ya mtoto wa mama sabuni.
Kitambo sana Rahabu Fungo na baadaye Rahabu Fred baada ya kuoana FredwaaBeatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.