Milles Montego
Member
- May 31, 2021
- 96
- 285
Amin, inshaallah, basi tuwasiliane pm tujue pa kuanziayeye atakuongoza na mimi nitakuwa karibu nanyi kwa maelekezo ya ziada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amin, inshaallah, basi tuwasiliane pm tujue pa kuanziayeye atakuongoza na mimi nitakuwa karibu nanyi kwa maelekezo ya ziada
Ulivyo na roho mbaya hata kuniita kwenye mambo kama haya hutakiKila lenye kheri
Nachokaga kabisa kusikia hilo neno...kwamba sasa hivi hajajistiri?😆Waislam tuna msemo fulani wa kebehi sana,kuolewa tunaita kusitiri,hapo anatafutwa mtu wa kumsitiri
Duh!...wewe hupaswi kuwepo bhana.....Yeye atakuongoza na mimi nitakuwa karibu nanyi kwa maelekezo ya ziada
Unataka kusema huku nako kuna majin wanachati kama binadamuHatongozwi? Mtakuja kuolewa na majini wa mtandaoni