Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wewe ushaolewa tayari au ndo unajitaftia hapaMtoto kamzaa kwenye ndoa na yuko shule ya msingi.Ukija tutakuonesha cheti cha ndoa na utamjuja aliyekuwa mume mwenzio.
Mimi ni kaka yake na nina wake 4.Mtoto wa kiungwana hawezi kutongoza wanaume.Ameniambia mimi mwenyewe na ameweza kuniambia kwa kuwa baadhi ya siku huwa nachelewa kumpelekea mahitajiSema ni ww mwenyewe. Acha kutuzuga ina maana mpaka amegraduate hawezi kujisemea mwenyewe!?
Huyo mwanamke ni feminist hawa mara zote hupenda kushindana na wanaume.Hivi Nyumba aliyojenga mwanamke unathubutu kuingia Ulale usingizi kama Baba wa familia kweli?
Mimi sikufai. Ni kijogoo.Nina wanne na bado natamani kuongeza isingekuwa ukomo wa 4.Lakini sijawahi kupenda kujaribu kwa mashoga.Kama ungekuwa wewe ni shoga ukanipenda basi ningekukimbia.Je wewe ushaolewa tayari au ndo unajitaftia hapa
Me nataka nikupende Kama uko fresh
Wewe kwenye hio picha Ni yupi Sasa au Yule mdogo mdogo😋Mimi sikufai. Ni kijogoo.Nina wanne na bado natamani kuongeza isingekuwa ukomo wa 4.Lakini sijawahi kupenda kujaribu kwa mashoga.Kama ungekuwa wewe ni shoga ukanipenda basi ningekukimbia.
Kasema yeye ni mwanaume mbona hamuelewiWewe kwenye hio picha Ni yupi Sasa au Yule mdogo mdogo[emoji39]
Unawajua wanawake au unawasikia? Hata km ni mkeo uliyepata naye watoto 5 usije kufanya hili jambo la kuishi kwenye aliyojenga. Utanyanyasika sanaMatokeo ya sensa hayadanganyi haya wazee wa fursa.....sitaki kusikia mwanaume anataka kujiua kisa maisha magumu...
"Use it to the maximum"
Poa njoo inboxSi kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
SalakeeeSi kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()