Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tooka pepo🤣Hatongozwi? Mtakuja kuolewa na majini wa mtandaoni
Kwani ubaya uko wapi?. Yale mliyokariri zamani yanabadirika. Katumia vizuri nafasi yake na kawasirisha kwa utulivu sana. Hongera sana Ami.Kwa waislamu kaka kumtafutia dada mme ni halali kweli mkuu au mimi ndio sielewi
Shauri lenuTooka pepo🤣
Halafu ni mzuri wa sura na umbo, labda hizo hijab zao ndo zinafanya wakware wasiouone uzuri na umbo lake.Hatongozwi? Mtakuja kuolewa na majini wa mtandaoni
nikajua ni mstahamilivu, sheikh mbona unaharibu uzi tenaMimi sikufai. Ni kijogoo.Nina wanne na bado natamani kuongeza isingekuwa ukomo wa 4.Lakini sijawahi kupenda kujaribu kwa mashoga.Kama ungekuwa wewe ni shoga ukanipenda basi ningekukimbia.
Huko aliko hakuna wanaume? Yaani ukiona mtu anatafutiwa mpenzi...tena mtandaoni ujue kuna shida mahali.Halafu ni mzuri wa sura na umbo, labda hizo hijab zao ndo zinafanya wakware wasiouone uzuri na umbo lake.
Hivyo Yes, huenda hatongozwi.
Bomu hilo, mapenz ya mtandaoni jau sana aisee.Huko aliko hakuna wanaume? Yaani ukiona mtu anatafutiwa mpenzi...tena mtandaoni ujue kuna shida mahali.
Kwanini asitafute mwenyewe iweje atafutiwe
Mwambie aache zile tabia zilizomfanya aachike la sivyo hata ukitumia nguvu kiasi gani kumtafuta mwenza ataachika tena kama habadilishi tabia, na angalieni mfumo wa malezi katika nyumba yenu matokeo ya kudekeza, na kufundiaha vitu au tamaduni za hovyo ndio matokeo yake ukubwaniSi kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Hiyo haijawahi kutokea. Utamjua ukishamuoa kwa sababu atakuja kuchukua mwanawe.Pamoja na hivyo mambo ya ndoa hayahojiwi hivyo. Utaona mambo mazuri ambayo huyo wa mwanzo pengine kwa upuuzi wake wala hakuweza kuyaona.Mume wa kwanza yuko wapi nimuulize tabia ya uyu aliekuwa mke wake
Dhana mbaya tu.Mitandao imeletwa na mwenyewe aliyetuumba. Kwenye mtandao unaweza kupata ambacho huwezi kukipata kwengine mitaani na kinyume chake inawezekana.Muhimu anza na dua ukianza kupenda.Bomu hilo, mapenz ya mtandaoni jau sana aisee.
Mapenzi ya mtandaoni yapo. Tena mazuri sana.Bomu hilo, mapenz ya mtandaoni jau sana aisee.
Ni vile tu wadada walivyochokwa kwenye nyumba za familia. #smh
Hii picha mbona ni kitambo ipo mitandaoni[emoji23][emoji23]Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Acha woga ishi kama watu wa Pwani, kwao kila kiti sawa tu, maisha yenyewe mafupiHivi Nyumba aliyojenga mwanamke unathubutu kuingia Ulale usingizi kama Baba wa familia kweli?