Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Kwa waislamu kaka kumtafutia dada mme ni halali kweli mkuu au mimi ndio sielewi
Kwani ubaya uko wapi?. Yale mliyokariri zamani yanabadirika. Katumia vizuri nafasi yake na kawasirisha kwa utulivu sana. Hongera sana Ami.
Mambo yamebadirika sana. Soon mapdree wataanza kuoa na wachungaji wataruhusiwa kuoa hata wawili. Miaka 20 mbele itakuwa ni lazima na sheria kila mwanaume wake wawili. Ksbb Kwanza wanawake ni wengi,pili wanaume wanapungua,wengine wameingia kwa wanawake sijui wanakimbia mizinga
 
Sasa kwa nini umtafutir wewe, yeye hawezi kutafuta. Halafu hayo mavazi yake duuuuu
 
Mimi sikufai. Ni kijogoo.Nina wanne na bado natamani kuongeza isingekuwa ukomo wa 4.Lakini sijawahi kupenda kujaribu kwa mashoga.Kama ungekuwa wewe ni shoga ukanipenda basi ningekukimbia.
nikajua ni mstahamilivu, sheikh mbona unaharibu uzi tena
 
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.

Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.

Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.

Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.

Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.

360_F_210510641_C3KC65UupFXlgrkX0rv9hv1ZAuSCb1Ld.jpg
Mwambie aache zile tabia zilizomfanya aachike la sivyo hata ukitumia nguvu kiasi gani kumtafuta mwenza ataachika tena kama habadilishi tabia, na angalieni mfumo wa malezi katika nyumba yenu matokeo ya kudekeza, na kufundiaha vitu au tamaduni za hovyo ndio matokeo yake ukubwani
 
Mume wa kwanza yuko wapi nimuulize tabia ya uyu aliekuwa mke wake
Hiyo haijawahi kutokea. Utamjua ukishamuoa kwa sababu atakuja kuchukua mwanawe.Pamoja na hivyo mambo ya ndoa hayahojiwi hivyo. Utaona mambo mazuri ambayo huyo wa mwanzo pengine kwa upuuzi wake wala hakuweza kuyaona.
 
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.

Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.

Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.

Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.

Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.

360_F_210510641_C3KC65UupFXlgrkX0rv9hv1ZAuSCb1Ld.jpg
Hii picha mbona ni kitambo ipo mitandaoni[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom