Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
AkijibuDada yupo wap
Niajulishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AkijibuDada yupo wap
Wallah umemjibu vizuri ,,binafsi sijawahi kujishughulisha kutafuta mke ,,yaan Mara zote nilizooa marafiki zangu huwa wananiambia TU kule Kuna nusra ,,Ni kheiry nyingi Sana wazipatazo wenye kuunga unduguSisi shughuli kama hii hatuiiti ukuwadi.Ni mafunzo ya dini yetu kutafuta kheri kwa tuwapendao wakiwemo dada zetu na watoto wetu.
Weka namba ili tukutafute, PM hatuji🤪Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Labda pengine hujaelewa........Nachokaga kabisa kusikia hilo neno...kwamba sasa hivi hajajistiri?😆
Hahaahha mimi nina shida zangu binafsi ni kweli, ila aliyetaka kumuoa Nurain ni Akhi bhana.Kazakh destroyer hivi wewe ndo ulikua unatafuta wa kumnusuru au Nurain mshenga huyu hapa tayari ETUGRUL BEY 😂😂😂😂
Niko interested though.Naona umempenda yule aliyejaza zaidi ya wengine.Siku ikifika utamjua kwa uhakika.
Ngoja nioneConnection Hiyo Ulipo Hakuna Wa Kumpasha Habari Njema
Fanya hima Kazakh destroyer isije kuwa Ni Bibi Hadija huyo,,,ningekuwa na mmoja ningesimama usiku kwa ajili ya kuomba ,,,..Niko interested though.
Ma shaa allah, ila nimempenda kaka mtu anamtaftia stara dada yake, allah awahifadhiFanya hima Kazakh destroyer isije kuwa Ni Bibi Hadija huyo,,,ningekuwa na mmoja ningesimama usiku kwa ajili ya kuomba ,,,..
Kaka fanya hima umstiri dadaNiko interested though.
Aah kweli akhy sema haya mambo kwa sasa nimekosa interest kabisa nahisi nimepata tatizo gani sijui, nimekinai tuseme.Fanya hima Kazakh destroyer isije kuwa Ni Bibi Hadija huyo,,,ningekuwa na mmoja ningesimama usiku kwa ajili ya kuomba ,,,..
Mh sahv hapana.Kaka fanya hima umstiri dada
Usiogope vtimbi vya wanawake banaAah kweli akhy sema haya mambo kwa sasa nimekosa interest kabisa nahisi nimepata tatizo gani sijui, nimekinai tuseme.
Yaani hujui tu, ila maisha yamekorogeka si kidogo nimebakiza hamu ya kilimo tu labda.U
Usiogope vtimbi vya wanawake bana
Allah atafanya wepesi, nina rafiki nae aliongeza wapili vitimbi vimekua vingi sasa hivi anajisemea anatfta rizki tuYaani hujui tu, ila maisha yamekorogeka si kidogo nimebakiza hamu ya kilimo tu labda.