Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
AmiinAllah akufanyie wepesi katika Hilo biidhinih.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmiinAllah akufanyie wepesi katika Hilo biidhinih.
Mimi ni Mkristo, hamtaki wageni kwenye dini yenu?Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Acha pombe Kwanza Kisha uwe muislamu nipo nikupe dada yanguMimi ni Mkristo, hamtaki wageni kwenye dini yenu?
Pamoja na hao wenye tabia mbovu Bado uislamu huwezi kuufananisha na huo unaliu Wenu wa kuvaa rozari na Wala huruhusiwi kuoa dada yetu yoyote muislamu,,hutaki njoo ktk uislam kwishaMbona Kama ni hivyo ukafiri sio dini ila tabia ya mtu. Waislamu kibao tunakula nao nguruwe a.k.a nyqma mwanana, wanakunywa pombe kuliko sisi Wachagga, wanalawiti, wanazini, na hata magerezani wao ndio wamejazana huko kutokana na maovu yao.
Alkm nakitaka kuingia in box inagoma naomba Kama hutojali nitumie sms in boxSi kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Mke wangu ni muislam, michepuko wangu wote waislam. Wanapatikana kirahisi sana chochote unachotaka wanakupaPamoja na hao wenye tabia mbovu Bado uislamu huwezi kuufananisha na huo unaliu Wenu wa kuvaa rozari na Wala huruhusiwi kuoa dada yetu yoyote muislamu,,hutaki njoo ktk uislam kwisha
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Hata sisi pamoja na mapungufu YETU bado ukristo huwezi kuufananisha na huo inaliu wen u wa kuvaa shanga shingoni na kupaka hena kwenye ndevu!!!Hata sisi haturuhusiwi kuwaoa waislamu ila tunaruhusiwa😁😁😁😁😁Pamoja na hao wenye tabia mbovu Bado uislamu huwezi kuufananisha na huo unaliu Wenu wa kuvaa rozari na Wala huruhusiwi kuoa dada yetu yoyote muislamu,,hutaki njoo ktk uislam kwisha
Kaa kimya wewe hujijui tu kuwa ukristo Ni fursa,,Hata sisi pamoja na mapungufu YETU bado ukristo huwezi kuufananisha na huo inaliu wen u wa kuvaa shanga shingoni na kupaka hena kwenye ndevu!!!Hata sisi haturuhusiwi kuwaoa waislamu ila tunaruhusiwa😁😁😁😁😁
Nurain usikasirike kaka sababu hata uislamu aliouleta MUDI WA ARABUNI ni fursa!!!Lakini kitendo cha kupaka hena mimi mnanitia mashaka!!!!😂😂😂😂!!!!!Anyway tuachane na hayo Dada vipi ameshaolewa au????Kaa kimya wewe hujijui tu kuwa ukristo Ni fursa,,
Dada nicheki private upate nusraMi pia natafuta nusra
Dini muislam umri 27 nna mtoto 1
Utulivu wake ni mkimya. Hata akikorofishwa anaomba samahani yeye. Hana uwezo wa kujitafutia mtu sahihi. Na bahati mbaya dini inambama sana. Tatizo linalomkumba sasa anahitaji mtoto. Haiwezekani kuzaa bila ndoa,sababu ya diniHuko aliko hakuna wanaume? Yaani ukiona mtu anatafutiwa mpenzi...tena mtandaoni ujue kuna shida mahali.
Kwanini asitafute mwenyewe iweje atafutiwe
Basi anaboa.Utulivu wake ni mkimya. Hata akikorofishwa anaomba samahani yeye. Hana uwezo wa kujitafutia mtu sahihi. Na bahati mbaya dini inambama sana. Tatizo linalomkumba sasa anahitaji mtoto. Haiwezekani kuzaa bila ndoa,sababu ya dini