Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli??Hatongozwi? Mtakuja kuolewa na majini wa mtandaoni
Wallah tena watu hawataki utani!! Yaani wengi tu wameshakuja pm! 😃Mbona wenzako wengi wameshaingia.
MashAllah!! Utakuwa umefanya jambo la heri, ili na sisi watazamaji pia tuweze kushuhudia neema za Allah.Siku ya harusi nitatoa mwaliko na picha ya kiaina nitaileta inshaAllah. Hapo ndio utajua mambo ya mtandaoni ni yetu sisi viumbe wa Allah na kila mmoja kwa nia yake.
Dini zetu tofauti nahitaji muislam mwenzanguMi pia natafuta nusra
Dini muislam umri 27 nna mtoto 1
Humu tunapata marafiki tena hata bila kutumia nguvu. Kati ya hao marafiki ukiamua kupata mke au mume hukosi.Nikweli??
Ni pm wewe kama wenzako wengi.Tumeshaanza mchakato.
Inategemea Kwa sababu maisha halisi sio hayo tuyaonayo Kuna watu wamepitia shida hadi Kwa Sasa hawaamini yupo hi na sio wote wanadamu wanataka aolewe aheshimikeHumu tunapata marafiki tena hata bila kutumia nguvu. Kati ya hao marafiki ukiamua kupata mke au mume hukosi.
Kwann hukuoa mkristo mwenzio?Mke wangu ni muislam, michepuko wangu wote waislam. Wanapatikana kirahisi sana chochote unachotaka wanakupa
Waislamu waburudishaji sana kitandani aiseeKwann hukuoa mkristo mwenzio?
Haya. Kila la kheri kwakeInategemea Kwa sababu maisha halisi sio hayo tuyaonayo Kuna watu wamepitia shida hadi Kwa Sasa hawaamini yupo hi na sio wote wanadamu wanataka aolewe aheshimike
Hapana ni wife material. Mwenye nidhamu kwa mume. Sio kama weweBasi anaboa.
Ila humu jf ni changamotoHaya. Kila la kheri kwake
Ha haaa nidhamu yake imemkosesha mume😅😅😅😅 maajabu haya.Hapana ni wife material. Mwenye nidhamu kwa mume. Sio kama wewe