Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Tatizo ni Umri tu.. Otherwise ningejilipua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa Demi sikukuu njema.Hao watatu ni wa sasa hivi, wa nyuma sijui idadi yao.
Haya mpe pole.
Duuh 🙄 🙄 🤣🤣🤣 mwambie basi bro wako afanye mchakatoWewe tu huelewi ndugu
sawa ikibidi nitakujulishaUkiwakosa wote ni pm tutumize yalio andikwa katika vitabu vya Mungu tuwastir wanawake walio achika,waliofiwa na wamezao Ili wasiwe wapweke na wasifanye uzinifu Kwa uwezo wa Allah na mtume Muhammad bas hili Jimbo ni la kwangu naiman familia Bora huongozwa na mwanaume aliesimama imara katika Iman ya kidini,uchumi,na afya ya tendo la ndoa na afya ya muda Kwa mkewe
hili moja la kusaidia huwa halifanyiki kiholela lazima liendane na utaratibu maalum.Hayo mengine hayana shida hata wewe ungeweza kufanya kama nimeshindwa.Kwamba maitaji mengine yote uwa una msaidia kasoro moja tu.. ninge penda kukusaidia ilo moja tu mengine uendelee nayo apo vipi?
Kama unaupenda uislamu hii ni fursa itumie.Utapata vitu viwili na mahari tutakupunguzia.Sifa moja tu sina. Sio mwislam ila nlitaman kuwa na mke mdogo na ningemlea huyo mtoto kama mwanangu. Japo naupenda uislam ila sitaweza kusilim
Ushampa au bado?Achana na ujinga huo.Sisi hatuwajui hao watu wenu. Mimi natafuta mume wa dada yangu.
Sio wa kebehi mkuu kumwoa mwanamke ni kumstiriWaislam tuna msemo fulani wa kebehi sana, kuolewa tunaita kusitiri, hapo anatafutwa mtu wa kumsitiri
Kumsitiri kivipi sheikh kwani alikuwa uchiSio wa kebehi mkuu kumwoa mwanamke ni kumstiri
🤣🤣🤣 Nilitaka kukomenti picha? Ila nimeahirishaSi kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()
Huyu sio muislam ni mwafrika mtanzania, japo hajijui.Kwa waislamu kaka kumtafutia dada mme ni halali kweli mkuu au mimi ndio sielewi
Kumekucha🤔🤔Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.[emoji848]
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.
Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.
Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.
Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.
![]()