Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Kwamba maitaji mengine yote uwa una msaidia kasoro moja tu.. ninge penda kukusaidia ilo moja tu mengine uendelee nayo apo vipi?
 
Sifa moja tu sina. Sio mwislam ila nlitaman kuwa na mke mdogo na ningemlea huyo mtoto kama mwanangu. Japo naupenda uislam ila sitaweza kusilim
 
Ukiwakosa wote ni pm tutumize yalio andikwa katika vitabu vya Mungu tuwastir wanawake walio achika,waliofiwa na wamezao Ili wasiwe wapweke na wasifanye uzinifu Kwa uwezo wa Allah na mtume Muhammad bas hili Jimbo ni la kwangu naiman familia Bora huongozwa na mwanaume aliesimama imara katika Iman ya kidini,uchumi,na afya ya tendo la ndoa na afya ya muda Kwa mkewe
sawa ikibidi nitakujulisha
 
Kwamba maitaji mengine yote uwa una msaidia kasoro moja tu.. ninge penda kukusaidia ilo moja tu mengine uendelee nayo apo vipi?
hili moja la kusaidia huwa halifanyiki kiholela lazima liendane na utaratibu maalum.Hayo mengine hayana shida hata wewe ungeweza kufanya kama nimeshindwa.
 
Sifa moja tu sina. Sio mwislam ila nlitaman kuwa na mke mdogo na ningemlea huyo mtoto kama mwanangu. Japo naupenda uislam ila sitaweza kusilim
Kama unaupenda uislamu hii ni fursa itumie.Utapata vitu viwili na mahari tutakupunguzia.
 
Kama anaasili amayo sio ya kitanzani Njoo chap PM Mimi ndoto yangu ni kuoa nje ya TZ
 
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.

Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.

Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.

Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.

Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.

360_F_210510641_C3KC65UupFXlgrkX0rv9hv1ZAuSCb1Ld.jpg
🤣🤣🤣 Nilitaka kukomenti picha? Ila nimeahirisha
 
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.[emoji848]
 
Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.[emoji848]
Kumekucha🤔🤔
 
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.

Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.

Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.

Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.

Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.

360_F_210510641_C3KC65UupFXlgrkX0rv9hv1ZAuSCb1Ld.jpg

Wewe unataka nini kwetu? Wanaume tutafika kweli?
 
Back
Top Bottom