Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Ni PM nikupe namba ya Mtu ambae pia Ana uhitaji sana na yeye ni swala 5
 
Sisi wengine ni wastaafu nasi tuna nafasi hapo?
Pesa na nguvu za kuchakata papuchi zipo kwa kiwango cha SGR.
 
Si kwamba mume wa dada yangu kapotea ndio namtafuta, hapana. Ni kwamba dada yangu hana mume na natafuta atakayekuwa tayari na atakayefaa kumuoa.

Dada yangu amewahi kuolewa na ana mtoto mdogo. Ni mzuri wa umbo na mcheshi sana. Tangu alipoachika amejishughulisha kutafuta riziki zake za halali mpaka amefanikiwa kujenga kijumba chake.

Anachotaka sasa ni mume wa kuishi naye kwenye nyumba yake na kumpatia huduma akitamani kuzaa mtoto mwengine haraka. Mwenyewe huwa nampatia huduma zote muhimu isipokuwa moja ndio naomba msaada.
Umri wake ni miaka 32 na ukewenza si tatizo kwake ilimradi mume awe muwajibikaji.

Sharti moja muhimu la huyo mume mtarajiwa awe ni muislamu na mwenye kufanya ibada vizuri. Ambaye yuko tayari awasiliane nami binafsi ndani ya boksi tuone wapi pa kuanzia.

Dada mwenyewe ni mmoja katika hao hapo chini.

360_F_210510641_C3KC65UupFXlgrkX0rv9hv1ZAuSCb1Ld.jpg
Kazakh destroyer hivi wewe ndo ulikua unatafuta wa kumnusuru au Nurain mshenga huyu hapa tayari ETUGRUL BEY 😂😂😂😂
 
Unawajua wanawake au unawasikia? Hata km ni mkeo uliyepata naye watoto 5 usije kufanya hili jambo la kuishi kwenye aliyojenga. Utanyanyasika sana
Kwa kuanzia maisha hamna ubaya.Baadae ukijiweza utajenga yako.
 
Wewe tu una mashaka na kutokujiamini.Kama ni ulezi utamlea yeye peke yake.Kila mmoja wetu ana kwake na mambo yakiwazidi kwenu tutawasaidia.
Kwahiyo umeamua kulivaa joho la ukuwadi mwenyewe
 
Unawajua wanawake au unawasikia? Hata km ni mkeo uliyepata naye watoto 5 usije kufanya hili jambo la kuishi kwenye aliyojenga. Utanyanyasika sana
We unaenda hapo kufuata mke na kumbuka wewe ndiye kichwa kwahiyo unakuwa na macho manne ili kupata kianzio kutoka kwake
 
Wewe tu una mashaka na kutokujiamini.Kama ni ulezi utamlea yeye peke yake.Kila mmoja wetu ana kwake na mambo yakiwazidi kwenu tutawasaidia.
Nimefurahi Sana kusikia mtatusaidia huwa tunazidiwaga mara kwa mara tuna mapepo ya ngono muwe mnatupa tu vyapuchi vyenu tuvichakate tunapita mpaka.na vibibi vya ukoo
 
We unaenda hapo kufuata mke na kumbuka wewe ndiye kichwa kwahiyo unakuwa na macho manne ili kupata kianzio kutoka kwake
Kumbuka hapo ana mtoto kwahiyo ana kovu la maumivu kwenye moyo wake. Na usipoangalia ndiyo atakuwa analipiza kisasi.
Kuna ule msemo wa wanaume wote mbwa. Unaujua?
Siku hizi wanawake wanalindwa sana kwahiyo anaweza kukujibu chochote na usimfanye kitu.
Kuna siku lazima mtapishana kauli tu kwasababu nyinyi siyo malaika mpaka msigombane ndipo hapo kama siyo muelewa ataona inakuaje umkalipie wakati unaishi kwake?
Huyo mtoto huwezi kumchapa hata fimbo au kumuonya wakati nyumba ni mama yake lazima katakuwa na kiburi na mama mtu hatalikubali hilo ndipo ugomvi utakapoanzia hapo
Unakaa kwa mwanamke miaka 3 unatafuta mtaji, hapa utapoteza muda kumbuka mwanaume ukipambana mwenyewe kwa mwenyewe akili na ridhiki hufunguka sana.
 
Islam Dini, Dini Ya Haki
Wagalatia Tupisheni Kwanza Mpaka Apatikani Mlengo Haraka Haraka Kabla Ya 2023
 
Back
Top Bottom