Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

Ushauri wa bure nenda eagt city center kwa mchungaji florian katunzi njia ya mbagala kwenye ibada kila ibada pale ni maombezi anza na hapo kwanza kuna mtu mdada nilinpeleka hapo tatizo kma hilo akafunguliwa wanadamu wanamambo huenda wamekufunga mahali maombi ni buure pale nauli yako tu kufika kanisani Trust me utapata njia pale....
 
Sisi wengine Waislam, jee atakubali kubadili dini, na pili kuolewa kihalali na sio kuzaa nje ya ndoa?
nadhani ni suala la kuongea naye mi hatujapanga ili suala ila namkutanisha na mtu bila yeye kujua
 
Bila yeye kujua.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ Jioni kutakuwa migongano mbele ya safari?
 
tunataniana sana na yuko open kwangu ndo maana mpaka naandika hapa najua shida yake
 
Mkuu kwahy unataka kutuambia yy hana mwanaume kabisa wa kumchakata au hajawai kuchakatwa kabisa maana kama anachakatwa na uzazi upo fresh angekua amesha zaa au kalelewa usipite hapa kuna mbwa wakal
kweli
 
Kwan ana tatzo la kushka ujauzito au hajawah kuwa na mwanaume?
 
We kibamia ama?mpe dozi huyo atazaa tu unajua mnatupotezea muda sana na mada zenu hizi za kilofalofa.
 
Miaka 39 hajapata hata wa kumzalisha na kumtelekeza? Pole sana naomba usiwe offended na maneno yangu ila sisi vijana tunaogopa sana wanawake ambao wameenda age halafu hata mtoto hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…