Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

Mamdogo ni wewe source Shark spears
 

aiseeee
 
Una roho mbaya wewe yaani unafanya njama ya "kumua"[emoji23][emoji23]
 
Napita...
 
Si kitu rahisi tu....nitafute tumpe furaha madogo wako....
 
Tupe histora yake ya mahusiano. Ya kimapenzi. imekuaje hadi amefikia hapo hajaolewa wala kupata mtoto?

Muunge na serious Dating sites/App... !
 
Karibu in box nipo tayari
 
Mkuu nimesoma post yako kwa masikitiko makubwa, lakini pia pongezi sana kwa ujasiri na hekima ya kumsitiri mama mdogo. Kama ukiwa tayari ni PM nipo tayari kutoa msaada
 
Kuna siku nilishasema Kuna jinsia ya Ke sometime iko kwenye wakati mgumu Sana. Kwangu mie huyu Nampa tu mtoto najua ipo siku atakuja kunishukuru.
 
Come to me..age 27
 
Nitamsaidia tu Nimeguswa
Njoo PM
 
Kama anahamu na mtoto njoo inbox tuyajenge, ndoa nisikudanganye maana ni kitu kizito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…