Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
ni yakulipia ama ni free tuNdio mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni yakulipia ama ni free tuNdio mkuu
Zipo za free na za kulipia search google mkuuni yakulipia ama ni free tu
Is this offer still available?🙁🙁🙁habari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
habari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikali
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
Mm Niko tayari fanya unichekini kitu kinampa sana frustration nimeandika hivi sababu naelewe real situation
Nimecheka sana,duhAh basi kama hilo tuu hamna shida.....mpo mkoa gani nije nimpe atakacho
nitafute pm tuweke sawahabari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
MarioooNipo tayar cha msingi tukapime afya kwanza njoo in box
Nipo tayari kumpelekea Mama mdogo wako moto wa hatari hadi abebe mimba na kuzaa mtoto.karibuni wadau kwa maoni pengine na ushauri
Kuwa na busara huwezi kutoa maoni kama hayo . Mwenzio yupo katika shida mpe matumaini mbona watu wanazaa katika umri hata 45 na wanalea watoto kama kawaida?Kha...huyo boti la kuzaa lilishamuacha. Sasa azae mtoto akiwa na miaka 41 kweli. Mbona mnataka kumtesa tuu huyo mtoto