Pac-Man
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 465
- 739
Lakini kumbe sisi ndo tuko tayari kwaajili ya ndoa
HATUKATAI NDOA[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23] be humble hv karbun uzi utakuja n 90 we kunasa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kumbe sisi ndo tuko tayari kwaajili ya ndoa
HATUKATAI NDOA[emoji1]
Na kweli kaniwehusha nimekua chizi kupitiliza..ila nadhani umeona mtiririko ulivyokua mtani... nilivumilia toka mwanzo ila duuh nikashindwa...bora mnione chizi kwa leo..Ukiwa unaoga, hasa hivi vyoo vyetu vya uswahili, umeweka nguo kwenye ukuta wa bafu kwa juu, akaja kichaa akachukua nguo zako na akakimbia nazo, ukimkimbiza huku upo uchi, wa mbele anajulikana kuwa ni kichaa wa kila siku, lakini wewe uliye nyuma utaonekana ni kichaa mpya..!! Tena afadhari wa mbele amekumbuka kuvaa nguo. Wewe wa nyuma utaonekana ni kichaa namba E na kimekupanda kiasi cha kutojua umuhimu wa kuvaa nguo..!!!
Uyo dada atakua anaumwa huyo si bure.Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Ana mtoto? Ana vitabia vyovyote vya ufermist?Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Mapenzi ya mitandaoni ni show off and there’s nothing elseKama unaona uko safe kutongoza huko mtaani fanya hivyo,ila huku mtandaoni watu wanapata wenza na wanaishi vizuri tu
Hahaha kalpana bhan wew nomaaShe is cute kwa macho yangu labda ww unaweza ona tofauti.
Hapo nakwambia lazima nitoke na ushindi naikitokea nikawa siko hewani usisahau kunitag mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] be humble hv karbun uzi utakuja n 90 we kunasa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie apunguze vigezo na asijifungie ndani, vingine vyote kutoka kwake ni uongoNina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Siamini katika haya uliosema na hizi ni fikra zako...Mimi nitabakia na misimamo yangu suala la kudate na vibiriti ngoma vya mtandaoni hapana..Ni total useless1. Hivi unadhani wana alama?
2. Unadhani tumepangwa kimakundi kwamba kundi hili ni wa mitandaoni na kundi hili ni wa kanisani?
3. Is there any assurance kwamba wa kanisani ndiye wife material na wa mitandaoni ni bure kabisa?
Kuoa au kuolewa ni kama kubeti tu..!! Ingekuwa kuchunguza sana ndiyo kunakufanya ujuwe atakachokifanya kesho kusingekuwa na migogoro ya ndoa
😂😂Wasomi huwa na sura personal, rejea mheshimiwa speaker😄
Siamini katika haya uliosema na hizi ni fikra zako...Mimi nitabakia na misimamo yangu suala la kudate na vibiriti ngoma vya mtandaoni hapana..Ni total uselesskila mtu na choice zake,waache wanaopenda 'show off' wafaye yao,wewe fanya yako.
Sio unamlinda shoga yako hapa?Sijajua tabia za ndani yake kabisa...mimi navyomuona ni mpole..
Sasa labda uishi nae au kukaa nae kwa muda mengine utayanotice huko
Huyo kashapigwa na kitu kizito...kwanza badala atoke kwn uzi usiomuhusu anazidi kuleta ma negative yake hapa sasa anafanya nin...anawaonea wivu wanaopata humu au?? Sijamwelewa bado...1. Hivi unadhani wana alama?
2. Unadhani tumepangwa kimakundi kwamba kundi hili ni wa mitandaoni na kundi hili ni wa kanisani?
3. Is there any assurance kwamba wa kanisani ndiye wife material na wa mitandaoni ni bure kabisa?
Kuoa au kuolewa ni kama kubeti tu..!! Ingekuwa kuchunguza sana ndiyo kunakufanya ujuwe atakachokifanya kesho kusingekuwa na migogoro ya ndoa
Mkuu anakufaa sanaKwa kuwa wewe ni rafiki yetu wote je na mimi ananifaa?
Wewe unajua sehemu ambayo anataka ujueUongo kama kipi?