Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
Ukiwa unaoga, hasa hivi vyoo vyetu vya uswahili, umeweka nguo kwenye ukuta wa bafu kwa juu, akaja kichaa akachukua nguo zako na akakimbia nazo, ukimkimbiza huku upo uchi, wa mbele anajulikana kuwa ni kichaa wa kila siku, lakini wewe uliye nyuma utaonekana ni kichaa mpya..!! Tena afadhari wa mbele amekumbuka kuvaa nguo. Wewe wa nyuma utaonekana ni kichaa namba E na kimekupanda kiasi cha kutojua umuhimu wa kuvaa nguo..!!!
Na kweli kaniwehusha nimekua chizi kupitiliza..ila nadhani umeona mtiririko ulivyokua mtani... nilivumilia toka mwanzo ila duuh nikashindwa...bora mnione chizi kwa leo..
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Uyo dada atakua anaumwa huyo si bure.
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Ana mtoto? Ana vitabia vyovyote vya ufermist?
 
Mbona haujaweka kigezo cha elimu kwa mwanaume anayemuhitaji?
Aaa okey..mwanaume awe na kazi yoyote ya kusaidiana elimu hata akimzidi au kuwa kama yy au chini yake...ni awe anajitambua tuu..
 
[emoji23][emoji23][emoji23] be humble hv karbun uzi utakuja n 90 we kunasa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo nakwambia lazima nitoke na ushindi naikitokea nikawa siko hewani usisahau kunitag mkuu
SIKATAI NDOA😁
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Mwambie apunguze vigezo na asijifungie ndani, vingine vyote kutoka kwake ni uongo
 
1. Hivi unadhani wana alama?
2. Unadhani tumepangwa kimakundi kwamba kundi hili ni wa mitandaoni na kundi hili ni wa kanisani?
3. Is there any assurance kwamba wa kanisani ndiye wife material na wa mitandaoni ni bure kabisa?

Kuoa au kuolewa ni kama kubeti tu..!! Ingekuwa kuchunguza sana ndiyo kunakufanya ujuwe atakachokifanya kesho kusingekuwa na migogoro ya ndoa
Siamini katika haya uliosema na hizi ni fikra zako...Mimi nitabakia na misimamo yangu suala la kudate na vibiriti ngoma vya mtandaoni hapana..Ni total useless
 
kila mtu na choice zake,waache wanaopenda 'show off' wafaye yao,wewe fanya yako.
Siamini katika haya uliosema na hizi ni fikra zako...Mimi nitabakia na misimamo yangu suala la kudate na vibiriti ngoma vya mtandaoni hapana..Ni total useless
 
1. Hivi unadhani wana alama?
2. Unadhani tumepangwa kimakundi kwamba kundi hili ni wa mitandaoni na kundi hili ni wa kanisani?
3. Is there any assurance kwamba wa kanisani ndiye wife material na wa mitandaoni ni bure kabisa?

Kuoa au kuolewa ni kama kubeti tu..!! Ingekuwa kuchunguza sana ndiyo kunakufanya ujuwe atakachokifanya kesho kusingekuwa na migogoro ya ndoa
Huyo kashapigwa na kitu kizito...kwanza badala atoke kwn uzi usiomuhusu anazidi kuleta ma negative yake hapa sasa anafanya nin...anawaonea wivu wanaopata humu au?? Sijamwelewa bado...
 
Sio unamlinda shoga yako hapa?
Siwezi kumlinda wala kumuamulia muoaji au atajaejitokeza hayo watajuana wenyewe..
Ni rfk yangu kweli nampenda ila kwny ishu sensitive kama mahusiano ni wao wa2 so naelezea yale nayoyajua..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom