Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe mshabiki wa SimbaNina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Naiona vita ya kampuni angalieni msivunjane miguu🤣🤣si tunakuwa mwili mmoja. Chake chetu. Mimi sina kampuni ila nina ma idea kibao😀😀
Unakampuni??Tunatafutwa sana wanaume, soko tunalo
You’re insane as I told you...Mungu akunusuru na hilo pepo chafu na hakika huna lolote zaidi ya huo ujuaji wako na upumbavu wa fikra ulizonazo...Mungu akusamehe bure kwani hujui unenayo yakudhirisha kwa kiasi ganiMsenge tuu wewe...nakwambia ww kwangu ww ni msenge na haitabadilika...sitakaa kukusujudu ww uliekosa akili nilikwambia pale juu utasema yote..ila ww ni kibiriti ngoma wa kiume..nitakutusi vile unaleta matusi yani nakwambia hivi ni tit fo tat..Usitaje jina la Mungu kwny huo mdomo wako unaonuka k vant...
Ukaidi wangu ni kwa watu kama wewe punga zeze...
Je huyo mrembo ni mpenzi wa simba aua yanga...nijue kabla ya kirusha ndoano plzNina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Kama anayo anamtaka mtu wenye kampuni wa Nini wanaroho mbaya mwambie atafute mwekezaji simpleAna kampuni inayokua
Hata ww unaweza kuwa nayo mbona simple tuu
Aisee...umeamua kusema ukweli wa mamboz 🤣🤣🤣🤣Wasomi huwa na sura personal, rejea mheshimiwa speaker😄
Mwanangu wewe ni wa kukurupuka tuu🤣🤣🤣🤣Kama anayo anamtaka mtu wenye kampuni wa Nini wanaroho mbaya mwambie atafute mwekezaji simple
Sasa kadai mwenye nacho hao wanafilisigi mtu mbaya sio wazuri atafute mtu mchapakazi,mwenye heshima upendo , furaha na mwenye gari na nyumba yakeIla ww bana anataka tuu mchumba
vuta picha hakuna wadhifa, yupo bujonde na watoto kadhaa, uwani kuna pipa la gongo linachemka la kuuza usiku.Yuko vyedi mbonaaa