Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann sikuiona post hii mapema?Tuma tuu usaili unaendelea huko
Kuna watu pia wanatamanj kutafutiwa mkuu na ni wanaume..so kila kitu kinawezekanaMwanaume mwenye miaka 35, anayejielewa, mwenye focus na maisha hawezi kuunganishiwa mwanamke.
Labda kama ni member wa kula tunda kimasihara na Mkataa ndoa hapo sawa.
Akibaki na ivyo vigezo rafiki yako atapata mwanaume marioo au akubali tunda liliwe kimasihara
Simtaki rafiki yako, nakutaka wewe mleta Uzi, upo tayari?Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Hilo shepu la kwenye avatar unamtunzia nani sasa?Hapana
Umeambiwa uende pm sasa hapa ni pm?Nipo tayari na nimekidhi vigezo. Naomba namba.
Weka picha yake bila kichwa tuone umboShe is cute kwa macho yangu labda ww unaweza ona tofauti.
Sipo resi hata nipo okay kabisa siitaji maombi mie ni mtoto wa mchungaji mie Ndio nikuombee utulie uachie vijana ligi hii ubadilishwe mtazamo, uwe mcha Mungu kamili maana hapo mguu mmoja nje na mmoja ndaniUnique Flower unamhitaji Yesu akutulize mwanangu.
Uko resi sana, nakuombea ubadilishwe, haya ni maombi yangu;
-ufanywe kiumbe kipya
-ubadilishwe mtazamo
-uwe mcha Mungu
Pokea maimbi hayo
Nakukabidhi kwa dada zako hawa wakuombee pia
Carleen
Chakorii
sawa.Umeambiwa uende pm sasa hapa ni pm?
Hapa unaonyesha tayari sifa hauna.
Umri unanikosesha mke. Kupitia mwandiko wako huyu mwanamke anaonekana anajielewa sana.Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Ila ni kweliKuna watu pia wanatamanj kutafutiwa mkuu na ni wanaume..so kila kitu kinawezekana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sipo resi hata nipo okay kabisa siitaji maombi mie ni mtoto wa mchungaji mie Ndio nikuombee utulie uachie vijana ligi hii ubadilishwe mtazamo, uwe mcha Mungu kamili maana hapo mguu mmoja nje na mmoja ndani
Nakukabidhi Kwa Mungu Pekee binadamu hawawezi kukubadilisha
Kampuni ya kuchakata ninayo😊Unakampuni??
Mkuu, kama hiyo picha ya avatar ni yako, em njoo inbox chap😁Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Hiyo pic ipo mitandaoni sio yake usidanganyike mkuu 🤣🤣🤺Mkuu, kama hiyo picha ya avatar ni yako, em njoo inbox chap😁