Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
Atafutiwe mchumba, yeye mwenyewe hawezi kutafuta? Akipatikana mchumba huenda ataomba tena usaidizi katika hayo maisha ya ndoa.
 
Mwanaume mwenye miaka 35, anayejielewa, mwenye focus na maisha hawezi kuunganishiwa mwanamke.

Labda kama ni member wa kula tunda kimasihara na Mkataa ndoa hapo sawa.

Akibaki na ivyo vigezo rafiki yako atapata mwanaume marioo au akubali tunda liliwe kimasihara
Kuna watu pia wanatamanj kutafutiwa mkuu na ni wanaume..so kila kitu kinawezekana
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Simtaki rafiki yako, nakutaka wewe mleta Uzi, upo tayari?
 
Unique Flower unamhitaji Yesu akutulize mwanangu.
Uko resi sana, nakuombea ubadilishwe, haya ni maombi yangu;
-ufanywe kiumbe kipya
-ubadilishwe mtazamo
-uwe mcha Mungu
Pokea maimbi hayo
Nakukabidhi kwa dada zako hawa wakuombee pia
Carleen
Chakorii
Sipo resi hata nipo okay kabisa siitaji maombi mie ni mtoto wa mchungaji mie Ndio nikuombee utulie uachie vijana ligi hii ubadilishwe mtazamo, uwe mcha Mungu kamili maana hapo mguu mmoja nje na mmoja ndani
Nakukabidhi Kwa Mungu Pekee binadamu hawawezi kukubadilisha
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Umri unanikosesha mke. Kupitia mwandiko wako huyu mwanamke anaonekana anajielewa sana.
Kila la kheri kwake.
 
Sipo resi hata nipo okay kabisa siitaji maombi mie ni mtoto wa mchungaji mie Ndio nikuombee utulie uachie vijana ligi hii ubadilishwe mtazamo, uwe mcha Mungu kamili maana hapo mguu mmoja nje na mmoja ndani
Nakukabidhi Kwa Mungu Pekee binadamu hawawezi kukubadilisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtoto wa pastor?
Yule kibabu umemwacha?🤣🤣🤣
Mimi nimebadilika Unique Flower
 
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.

Sifa zake;
  • Mweusi
  • Urefu Size ya kati.
  • Ana elimu ya degree.
  • Ana kampuni yake.
  • Ana maisha yake anajitegemea.
  • Ana hofu ya Mungu.
  • Anaishi Dar es salaam.

Sifa za mwanaume amtakae;
  • Yoyote mwenye kujielewa.
  • Mwenye kufocus na maisha.
  • Umri miaka 35 na kuendelea.
  • Dini mkristo.

Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Mkuu, kama hiyo picha ya avatar ni yako, em njoo inbox chap😁
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom